Ahmed Ally ana gundu?

Ahmed Ally ana gundu?

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Huyu jamaa tangu aingie kuwa afisa habari wa Simba, timu ya Simba haijawahi kuifunga timu ya Yanga, pia mwenendo wa club yetu umekuwa wa hovyo sana, kila siku analeta porojo tu.

Mimi nadhani huyu mwamba katuletea bundi, bora asepe tu tumrudishe Manara hata kama hatumpendi.

Update:

Over.
 
Wakati ule yule ng'ombe alipowaita mke wake mdogo tuliwaonya hamkusikia.Kudhihirsha Hilo akamhonga timu mke wake mdogo mkakenua meno.Tangu wakati huo Barbara Huwa anampabkimoja kimoja yule kanjibhai kila akichafukwa.
 
Acha ujinga kwani yeye anacheza namba ngapi?
 
Huyu jamaa tangu aingie kuwa afisa habari wa Simba, timu ya Simba haijawahi kuifunga timu ya Yanga, pia mwenendo wa club yetu umekuwa wa hovyo sana, kila siku analeta porojo tu.

Mimi nadhani huyu mwamba katuletea bundi, bora asepe tu tumrudishe Manara hata kama hatumpendi.

Update:

Over.
fallacy of false cause.
 
Huyu jamaa tangu aingie kuwa afisa habari wa Simba, timu ya Simba haijawahi kuifunga timu ya Yanga, pia mwenendo wa club yetu umekuwa wa hovyo sana, kila siku analeta porojo tu...
Kwani yeye ndo anaecheza uwanjani? Badala ya kulaumu benchi la ufundi na wachezaji wenu butu akina phiri unamlaumu afisa habari
 
Wewe Kama Shabiki, umechangia Simba Shs ngapi mwaka huu? Maana Mpira ni Pesa
Umesahau kwenye michango ya nani zaidi ile michango ilikua kiasi gani na je unakumbuka walitupangaje khs matumizi ya ile michango?
 
Huyu jamaa tangu aingie kuwa afisa habari wa Simba, timu ya Simba haijawahi kuifunga timu ya Yanga, pia mwenendo wa club yetu umekuwa wa hovyo sana, kila siku analeta porojo tu.

Mimi nadhani huyu mwamba katuletea bundi, bora asepe tu tumrudishe Manara hata kama hatumpendi.

Update:

Over.
Hakuna mshabiki wa Simba anayefikiri afisa habari analeta matokeo , Simba hatujawai kuwa hivyo semea club Yako sio simba .
 
Kwani mafanikio ya simba ni kuifunga yanga? Au kuboreka kimataifa?kuwa na washabiki aina hii ni hasara kwa klabu
 
Huyu jamaa tangu aingie kuwa afisa habari wa Simba, timu ya Simba haijawahi kuifunga timu ya Yanga, pia mwenendo wa club yetu umekuwa wa hovyo sana, kila siku analeta porojo tu.

Mimi nadhani huyu mwamba katuletea bundi, bora asepe tu tumrudishe Manara hata kama hatumpendi.

Update:

Over.
Gundu ni wewe
 
Back
Top Bottom