Ahmed Ally ana gundu?

Ahmed Ally ana gundu?

Huyu jamaa tangu aingie kuwa afisa habari wa Simba, timu ya Simba haijawahi kuifunga timu ya Yanga, pia mwenendo wa club yetu umekuwa wa hovyo sana, kila siku analeta porojo tu.

Mimi nadhani huyu mwamba katuletea bundi, bora asepe tu tumrudishe Manara hata kama hatumpendi.

Update:

Over.
Watu wa Simba mnaamini sana katika mikosi. Msemaji wa Club anafanya nini hadi wachezaji wenu wanashindwa kupata ushindi?
 
Ingependeza wakosoaji wa Simba Yanga kbla ajaanza kukosoa ni vema angeonesha kadi ya wanachama ndo uanze kukosoa

Majungu na lawama nying wakat ata huna kadi ya uanachama

Ifike pahali mwenye pesa aeshimiwe tofauti na apo hii tabia yetu ya maskini jeuri hautatusaidia zaid ya kuturudisha nyuma
 
Huyu jamaa tangu aingie kuwa afisa habari wa Simba, timu ya Simba haijawahi kuifunga timu ya Yanga, pia mwenendo wa club yetu umekuwa wa hovyo sana, kila siku analeta porojo tu.

Mimi nadhani huyu mwamba katuletea bundi, bora asepe tu tumrudishe Manara hata kama hatumpendi.

Update:

Over.
Mafanikio ya Simba hayapimwi kwa kuifunga Yanga. Upuuzi huu mnao huko Yanga tu.
 
Huyu jamaa tangu aingie kuwa afisa habari wa Simba, timu ya Simba haijawahi kuifunga timu ya Yanga, pia mwenendo wa club yetu umekuwa wa hovyo sana, kila siku analeta porojo tu.

Mimi nadhani huyu mwamba katuletea bundi, bora asepe tu tumrudishe Manara hata kama hatumpendi.

Update:

Over.
hana gundu,huo ni mpira bwana
 
Back
Top Bottom