Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wa Simba mnaamini sana katika mikosi. Msemaji wa Club anafanya nini hadi wachezaji wenu wanashindwa kupata ushindi?Huyu jamaa tangu aingie kuwa afisa habari wa Simba, timu ya Simba haijawahi kuifunga timu ya Yanga, pia mwenendo wa club yetu umekuwa wa hovyo sana, kila siku analeta porojo tu.
Mimi nadhani huyu mwamba katuletea bundi, bora asepe tu tumrudishe Manara hata kama hatumpendi.
Update:
Tangu Ahmed Ally aje Msimbazi timu yetu haijawahi kuifunga timu ya Yanga
Mara yamwisho tumeifunga Yanga kule kigoma kwenye FA goli 1 bila, wiki hiyo mgogoro wa Manara na Barbra ulikuwa kwenye peak. Baada ya Manara kwenda Yanga, kijana machachari Ahmed Ally akaja Simba. Sasa tangu aje Simba hatujawahi kuifunga Yanga mara 5 mfululizo, binafsi nahisi huyu mwamba ana...www.jamiiforums.com
Over.
Zee la Kumwagilia MOYOSemaji la caf AHMED ally
Semaji la cuf ya lipumba utopolo
Mafanikio ya Simba hayapimwi kwa kuifunga Yanga. Upuuzi huu mnao huko Yanga tu.Huyu jamaa tangu aingie kuwa afisa habari wa Simba, timu ya Simba haijawahi kuifunga timu ya Yanga, pia mwenendo wa club yetu umekuwa wa hovyo sana, kila siku analeta porojo tu.
Mimi nadhani huyu mwamba katuletea bundi, bora asepe tu tumrudishe Manara hata kama hatumpendi.
Update:
Tangu Ahmed Ally aje Msimbazi timu yetu haijawahi kuifunga timu ya Yanga
Mara yamwisho tumeifunga Yanga kule kigoma kwenye FA goli 1 bila, wiki hiyo mgogoro wa Manara na Barbra ulikuwa kwenye peak. Baada ya Manara kwenda Yanga, kijana machachari Ahmed Ally akaja Simba. Sasa tangu aje Simba hatujawahi kuifunga Yanga mara 5 mfululizo, binafsi nahisi huyu mwamba ana...www.jamiiforums.com
Over.
hana gundu,huo ni mpira bwanaHuyu jamaa tangu aingie kuwa afisa habari wa Simba, timu ya Simba haijawahi kuifunga timu ya Yanga, pia mwenendo wa club yetu umekuwa wa hovyo sana, kila siku analeta porojo tu.
Mimi nadhani huyu mwamba katuletea bundi, bora asepe tu tumrudishe Manara hata kama hatumpendi.
Update:
Tangu Ahmed Ally aje Msimbazi timu yetu haijawahi kuifunga timu ya Yanga
Mara yamwisho tumeifunga Yanga kule kigoma kwenye FA goli 1 bila, wiki hiyo mgogoro wa Manara na Barbra ulikuwa kwenye peak. Baada ya Manara kwenda Yanga, kijana machachari Ahmed Ally akaja Simba. Sasa tangu aje Simba hatujawahi kuifunga Yanga mara 5 mfululizo, binafsi nahisi huyu mwamba ana...www.jamiiforums.com
Over.
Kukosa akili tu huku..Tumetoka kwa C.E.O tumehamia kwa semaji la CAF
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Semaji linagundu, tangu lije timu imeharibikaTumetoka kwa C.E.O tumehamia kwa semaji la CAF
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app