Ahmed Ally Atoa neno baada ya mechi na Namungo, asema wamekata tamaa

Ahmed Ally Atoa neno baada ya mechi na Namungo, asema wamekata tamaa

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
“Matokeo ya jana kusema ukweli wa Mungu yametuumiza sana, yametukatisha tamaa kwa sababu Lengo lilikuwa ni kushinda ili tuweze kuleta ushindani mzuri kwenye mbio za ubingwa.

“Baada ya kupoteza jana tumezidi kujiwekea ugumu sisi wenyewe na kwa sasa mipango au ujasiri wa kusema moja kwa moja kwamba tunapigania ubingwa inaweza kuwa ni 50/50,” Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba Sc, Ahmed Ally

===

Huyu Jamaa timu Ina mlet down Kila siku[emoji23][emoji23][emoji23] atakufa presha.

1683190576756.jpg
 
simba wamejimaliza wenyewe kupitia mchezo wao wa jana dhidi ya Namungo. kabla ya game ya jana Yanga alikuwa na nafasi ya asilimi 85 na simba asilimia 60 ya kuchukua ubingwa. sioni Simba ikichukua taji lolote msimu huu
 
simba wamejimaliza wenyewe kupitia mchezo wao wa jana dhidi ya Namungo. kabla ya game ya jana Yanga alikuwa na nafasi ya asilimi 85 na simba asilimia 60 ya kuchukua ubingwa. sioni Simba ikichukua taji lolote msimu huu
Wameshachukua makombe mawili, kombe la robo fainali na kombe la kufa kiume.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Maombi yangu yametimia
Hawa watemwe

Banda
Kapama
Akpan
Okrah
Okwa
Sawadogo
Outaraa
Nyoni
Bocco
Mkude
Kennedy
Mwenda


Wafuatao wasiongezewe Mkataba

Kapombe
Chama
Saido
Phiri
Manura
Onyango
Mzamiru
 
Maombi yangu yametimia
Hawa watemwe

Banda
Kapama
Akpan
Okrah
Okwa
Sawadogo
Outaraa
Nyoni
Bocco
Mkude
Kennedy
Mwenda


Wafuatao wasiongezewe Mkataba

Kapombe
Chama
Saido
Phiri
Manura
Onyango
Mzamiru
Watu makini huwa hawaishii kutoa maoni kama hayo tu, ulitakiwa uende mbali zaidi. Mfano, kwenye hiyo orodha ya unaotaka waachwe, kuna wazawa akina Nyoni, Bocco, Mkude, Kennedy na Mwenda. Ulitakiwa uweke na orodha ya wazawa unaotaka wazibe nafasi hizo, kutoka JKT, Prisons, Azam, Coastal Union, Yanga etc. Ukiishia kutaja tu kuacha ambako ni rahisi halafu ukakwepa kutafuta ambako nako ni kama betting, hujui mchezaji akija atakuwaje, huo sio uungwana
 
simba wamejimaliza wenyewe kupitia mchezo wao wa jana dhidi ya Namungo. kabla ya game ya jana Yanga alikuwa na nafasi ya asilimi 85 na simba asilimia 60 ya kuchukua ubingwa. sioni Simba ikichukua taji lolote msimu huu
Mgunda akihojiwa kasema bado wako na nafasi kubeba kombe
 
“Matokeo ya jana kusema ukweli wa Mungu yametuumiza sana, yametukatisha tamaa kwa sababu Lengo lilikuwa ni kushinda ili tuweze kuleta ushindani mzuri kwenye mbio za ubingwa.

“Baada ya kupoteza jana tumezidi kujiwekea ugumu sisi wenyewe na kwa sasa mipango au ujasiri wa kusema moja kwa moja kwamba tunapigania ubingwa inaweza kuwa ni 50/50,” Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba Sc, Ahmed Ally

===

Huyu Jamaa timu Ina mlet down Kila siku[emoji23][emoji23][emoji23] atakufa presha.

🤣🤣🤣🤣🤣eeeh!!nao walikuwa wanagombea ubingwa
 
Maombi yangu yametimia
Hawa watemwe

Banda
Kapama
Akpan
Okrah
Okwa
Sawadogo
Outaraa
Nyoni
Bocco
Mkude
Kennedy
Mwenda


Wafuatao wasiongezewe Mkataba

Kapombe
Chama
Saido
Phiri
Manura
Onyango
Mzamiru
Mkuu.....mbna Sasa unataka timu yote itemwe

Madhara ya kuanza na vikosi vipya ni pamoja na Kwamba itachukua muda mrefu kuunganika kitu ambacho kitakuwa hatari
 
Watu makini huwa hawaishii kutoa maoni kama hayo tu, ulitakiwa uende mbali zaidi. Mfano, kwenye hiyo orodha ya unaotaka waachwe, kuna wazawa akina Nyoni, Bocco, Mkude, Kennedy na Mwenda. Ulitakiwa uweke na orodha ya wazawa unaotaka wazibe nafasi hizo, kutoka JKT, Prisons, Azam, Coastal Union, Yanga etc. Ukiishia kutaja tu kuacha ambako ni rahisi halafu ukakwepa kutafuta ambako nako ni kama betting, hujui mchezaji akija atakuwaje, huo sio uungwana
Pia ni hatari kuanza na Kikosi kipya ......changes lazima iwe taratibu
 
Watu makini huwa hawaishii kutoa maoni kama hayo tu, ulitakiwa uende mbali zaidi. Mfano, kwenye hiyo orodha ya unaotaka waachwe, kuna wazawa akina Nyoni, Bocco, Mkude, Kennedy na Mwenda. Ulitakiwa uweke na orodha ya wazawa unaotaka wazibe nafasi hizo, kutoka JKT, Prisons, Azam, Coastal Union, Yanga etc. Ukiishia kutaja tu kuacha ambako ni rahisi halafu ukakwepa kutafuta ambako nako ni kama betting, hujui mchezaji akija atakuwaje, huo sio uungwana
Hilo ni jukumu la Scouting
 
Back
Top Bottom