Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Malipo ni hapa hapa duniani. Ubaya ubwela. Nyie mliweka bango mlipomfunga Simba 5-1. Acha wanasimba tufurahi ni wakati wetu . Wanasimba ni wakati wetu huu.Ila ingekuwa vice versa mzee mashabiki wa simba mngetukana sana mngeanza kusema msemaji ahainge na team yake aachane na timu yenu ila kwa kuwa kafamya yeye mnaona yuko sahihi
Basi kuanzia sasa ruksa kumsema mwenzako na sio kuanza kusema msemaji hana professionalism sindio?Malipo ni hapa hapa duniani. Ubaya ubwela. Nyie mliweka bango mlipomfunga Simba 5-1. Acha wanasimba tufurahi ni wakati wetu . Wanasimba ni mwaka wetu huu.
Ndioooooooo.....kama wale vilaza kwenye hospital kuu ya vichaa.Basi kuanzia sasa ruksa kumsema mwenzako na sio kuanza kusema msemaji hana professionalism sindio?
ππππNdioooooooo.....kama wale vilaza kwenye hospital kuu ya vichaa.
Ni sawa, ni wakati wake kufurahi.Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Simba SC Ahmed Ally leo January 20,2025 ameamua kulipamba gari lake msimamo wa Kundi A alilotoka Yanga
View attachment 3207633
SC Ligi ya Mabingwa Afrika akiwa na lengo la kuwakera.
Ahmed Ally amesema ameamua kufanya hivyo ili kuwakumbusha Watu akisema sababu ni kwamba hapa kati kulikuwa na mambo mengi na ameacha hivyo kwa muda wiki tatu hadi mwezi.
View attachment 3207636
Simba SC wao wamefuzu kwenda robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika wakati Yanga wametolewa hatua ya makundi baada ya kumaliza nafasi ya tatu.
NI UTOTO TU AKIKUA ATAACHA.Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Simba SC Ahmed Ally leo January 20,2025 ameamua kulipamba gari lake msimamo wa Kundi A alilotoka Yanga
View attachment 3207633
SC Ligi ya Mabingwa Afrika akiwa na lengo la kuwakera.
Ahmed Ally amesema ameamua kufanya hivyo ili kuwakumbusha Watu akisema sababu ni kwamba hapa kati kulikuwa na mambo mengi na ameacha hivyo kwa muda wiki tatu hadi mwezi.
View attachment 3207636
Simba SC wao wamefuzu kwenda robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika wakati Yanga wametolewa hatua ya makundi baada ya kumaliza nafasi ya tatu.
Mbona anaficha plate number? Anaogopa nini?Ahmedy Ally anamiliki Range,wakati Ally Kamwe anamiliki Paso.
hii sio haki.
Mbona mnakuwa wepesi hivi kusahau? Vipi kuhusu kero yenu ya bango/mabango ya 5-1? Malipo ni hapa hapa Bongo. Ubaya Ubwela!πIla ingekuwa vice versa mzee mashabiki wa simba mngetukana sana mngeanza kusema msemaji ahainge na team yake aachane na timu yenu ila kwa kuwa kafamya yeye mnaona yuko sahihi
Kama sisi tulivyokuwa wapole kwa mabango yenu ya 5-1? Au umesahau mtani? Kutesa kwa zamu.Ni sawa, ni wakati wake kufurahi.
Ila ikifika zamu yetu ya kuweka mabango hatutaki matusi, kuweni wapole kama sisi.
Yale mabango ya mitaani ilikuwajeIla ingekuwa vice versa mzee mashabiki wa simba mngetukana sana mngeanza kusema msemaji ahainge na team yake aachane na timu yenu ila kwa kuwa kafamya yeye mnaona yuko sahihi
Hamkuwa wapole, mlitukana sana.Kama sisi tulivyokuwa wapole kwa mabango yenu ya 5-1? Au umesahau mtani? Kutesa kwa zamu.