Vice J
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 530
- 766
Yaani wanajua kujikata kichwa sana kama vile sio wenyewe walisema wanaenda kushitaki logo yao imetumika sijui kwenye bango la biasharaHamkuwa wapole, mlitukana sana.
Yeah, furahini while it lasts.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani wanajua kujikata kichwa sana kama vile sio wenyewe walisema wanaenda kushitaki logo yao imetumika sijui kwenye bango la biasharaHamkuwa wapole, mlitukana sana.
Yeah, furahini while it lasts.
Minapigania haki tu bi mdashi.Mbona anaficha plate number? Anaogopa nini?
Lakini hakuna alikosema ni gari lake, haya ni maoni yenu tu.
Mwosha huoshwa 😂🏃Ila ingekuwa vice versa mzee mashabiki wa simba mngetukana sana mngeanza kusema msemaji ahainge na team yake aachane na timu yenu ila kwa kuwa kafamya yeye mnaona yuko sahihi
Ile ya 5:1 itakumbukwa hata mwakani ila hii mwezi wa tano tu tushasahauMalipo ni hapa hapa duniani. Ubaya ubwela. Nyie mliweka bango mlipomfunga Simba 5-1. Acha wanasimba tufurahi ni wakati wetu . Wanasimba ni wakati wetu huu.
Ubaya UbwelaNi sawa, ni wakati wake kufurahi.
Ila ikifika zamu yetu ya kuweka mabango hatutaki matusi, kuweni wapole kama sisi.
Kumbe hiyo ni rangeAhmedy Ally anamiliki Range,wakati Ally Kamwe anamiliki Paso.
hii sio haki.