Ahmed Ally kemea kwanza akina Henonga, Onyango na Kanoute wasichezee rafu wachezaji wenzao

Ahmed Ally kemea kwanza akina Henonga, Onyango na Kanoute wasichezee rafu wachezaji wenzao

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Baada ya Moses Phil kuchezewa kuumizwa kiwanjani, Ahmed Ally msemaji wa Simba amelalamika sana, sio vema wachezaji kuumizana na siungi mkono wachezaji kuumizana viwanjani, lakini Ahmed alipaswa kuwakemea Henock, Onyango, Kanoute na Mzamiru kwa kuchezea wengine vibaya.
 
Baada ya Moses Phil kuchezewa kuumizwa kiwanjani, Ahmed Ally msemaji wa Simba amelalamika sana, sio vema wachezaji kuumizana na siungi mkono wachezaji kuumizana viwanjani, lakini Ahmed alipaswa kuwakemea Henock, Onyango, Kanoute na Mzamiru kwa kuchezea wengine vibaya.
Game ya simba vs kagera,kanuti kamzaba mchezaji wa kagera bonge la MBATA,tena mbele ya refa na hajaonywa,wenyewe wanamuita PUTIN kwa ukatili na umafia anao wafanyia wachezaji wenzie,lakini wana simba utasikia PUTIN huyo,kama kaumia muuguzeni.
 
Game ya simba vs kagera,kanuti kamzaba mchezaji wa kagera bonge la MBATA,tena mbele ya refa na hajaonywa,wenyewe wanamuita PUTIN kwa ukatili na umafia anao wafanyia wachezaji wenzie,lakini wana simba utasikia PUTIN huyo,kama kaumia muuguzeni.
Pili kuumia ndio Ahmed anauona ubaya wa kuumizana, anasahau kuwa game plan ya kagera sugar ilikuwa kumkaba sana phili, sakho na Putin wasifunge, Hata Henonga na Onyango wanapewa maagizo ya kumkaba na kumkamia sana Mayele kwenye mechi asiteteme. Ahmed Ally anastahili kufungwa na TFF. Makocha wetu wanawafundisha wachezaji wao kukamia mchezaji hatari hadi kumuumiza ikibidi, Inonga, Onyango na kanoute ni wachezaji hatari sana kwa afya za wenzao uwanjani, wachezaji wanahofia afya zao wanapokutana na wachezaji hawa wanaocheza bila kujali afya za wenzao, Onyango anaongoza kwa kuhatarifa afya za watu na bahati mbaya watu wake wanamuita nusu mtu nusu chuma,
 
Game ya simba vs kagera,kanuti kamzaba mchezaji wa kagera bonge la MBATA,tena mbele ya refa na hajaonywa,wenyewe wanamuita PUTIN kwa ukatili na umafia anao wafanyia wachezaji wenzie,lakini wana simba utasikia PUTIN huyo,kama kaumia muuguzeni.
Eti putin huyo 😂
 
Game ya simba vs kagera,kanuti kamzaba mchezaji wa kagera bonge la MBATA,tena mbele ya refa na hajaonywa,wenyewe wanamuita PUTIN kwa ukatili na umafia anao wafanyia wachezaji wenzie,lakini wana simba utasikia PUTIN huyo,kama kaumia muuguzeni.
😅😅😅😅 Putin
 
Game ya simba vs kagera,kanuti kamzaba mchezaji wa kagera bonge la MBATA,tena mbele ya refa na hajaonywa,wenyewe wanamuita PUTIN kwa ukatili na umafia anao wafanyia wachezaji wenzie,lakini wana simba utasikia PUTIN huyo,kama kaumia muuguzeni.
Utopolo hamkosi cha kusema
FB_IMG_1671396151308.jpg
 
Back
Top Bottom