Ahmed Ally: Mashabiki wanaolalamika hawana furaha waendelee hivyo hivyo

Frank Wanjiru

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2012
Posts
22,719
Reaction score
40,739
𝗕𝗔𝗔𝗗𝗔 𝗬𝗔 π— π—˜π—–π—›π—œ

"Mashabiki wanaolalamika hawana furaha waache waendelee kutokuwa na furaha. Sisi tunasonga mbele hadi nusu fainali ligi ya mabingwa Africa hivyohivyo bila furaha"

"Mashabiki walitegemea tutashinda kirahisi tu kama tulivyofuzu msimu uliopita, Power Dynamos ni timu nzuri sana, walitakiwa wacheze makundi, wangesumbua sana bora tumewatoa mapema sio kama wale waliocheza na Wakimbizi"

[emoji2399] Ahmed Ally
Meneja wa habari Simba SC

Full β€” [emoji1241] Simba 1 - 1 Dynamos [emoji1268]

[emoji460] Andy Boyel β€” 16'
[emoji460] Kondwani β€Ίβ€Ί Own goal β€” 69'

β—‰ 3-3 β€” Aggregate



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana WATU wenye AKILI HAPA Jamii Forum tulisha toa Tahadhari mno.

Tuliisha waambia Simba ukweli kuwa Wajiandae KISAIKOLOJIA.
UONGOZI UMESAJILI WACHEZAJI HOVYO HOVYO.

HUWEZI ukasajili mawinga 8 timu ikawa salama.


 
Kazi ipo
 
Timu yoyote itakayokutana na simba makundi iitandike barabara na like li kipa letu la mchongo wao walenge tu golini ili hawa wasengerema akina Ahmed akili ziwakae sawa.
 
Nina uhakika wangecheza na hao wakimbizi habari ingekuwa nyingine muda huu
 
Semaji letu sometimes miyeyusho sana anapenda kuongea simple simple tu
Kwa venye tunacheza kila mechi itakua ngumu kwetu
 
Semaji letu sometimes miyeyusho sana anapenda kuongea simple simple tu
Kwa venye tunacheza kila mechi itakua ngumu kwetu
Mna mkumbuka Manara sasa.[emoji3][emoji3][emoji3] Kama mmeweza kumvumilia Robertinho sidhani kama mtashindwa kumvumilia Msemaji wenu.
 
Simba inaangushwa na Viongozi wajinga. Timu ilianza kufungwa huyo msemaji atasemaje?. Tengenezeni timu na mkae na wachezaji muwajenge kisaikolojia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…