Ahmed Ally ndiye mchawi namba moja Simba

Ahmed Ally ndiye mchawi namba moja Simba

Najua wengi itakua ngumu kunielewa.

Huyu jamaa amewekwa pale Ili kuwapumbaza wanasimba na wanasimba bila kuwa na uelewa wanamuona kama ni Mtu wa maana sana. Hivi hamjiulizi kila siku anaropoka vitu nje ya uwanja ila ndani ya uwanja timu inachofanya nadhani mnakijua halafu baada ya mchezo analeta maneno mengine ya uongo uongo na wanasimba mnaridhika kabisa.

Huyu jamaa ni chawa wa Mo na anafanya hivi Ili kuwapoteza maboya halafu wengi mnamsema Mangungu wakati Mangungu pale yupo kama picha tu. Nina ushahidi 100% anafurahia kinachoendelea Simba huku anaingiza pesa.

Ahmed Ally ni Yanga damu na mtateseka sana sababu hamtapata mbadala, Ahmed anajua kuzima maneno ya mashabiki.
Naunga mkono hoja.
 
Ahmed Ally si tatizo Simba. Jamaa ni mfano wa kuigwa kwa wanaojifunza kazi ya usemaji wa timu. Anajua haswa kuhamasisha mashabiki kujaa uwanjani.

Tatizo la Simba ni wachezaji kukosa philosophy , morali na kushindwa kucheza kwa fomesheni hivyo kupata matokeo mabovu.

benchi la ufundi Simba halina uwezo wa kimbinu kufundisha wachezaji .

Rais wa Yanga Eng Hersi kila mechi yuko uwanjani, kwa Simba ni tofauti , kiongozi wao hatumuoni uwanjani kila mechi.

Simba imeporomoka si sahihi kumuangushia jumba bovu Ahmed Ally.
 
Huyu mpumbavu nimem unfollow huko instagram nimeona ana mambo yakijinga na ni muhuni tu
 
Anavyozungumza kama mwanamke huwa ninahisi aibu sana.

Jamaa anaonekana kichwani ni mweupe sana.

Ally Kamwe anajua sana kujieleza kwa utulivu.

Hawa vijana awali walikuwa wachambuzi wazuri wa michezo pale Azam Media, ila sijui ni kitu gani kikemkuta Ahmed Ally maana anazungumza kama kachanganyikiwa hivi.
Ni mental case hio.
 
Ahamed Ally sio mchezaji, sio kiongozi anaye husika na usajili, sio kocha...... Ahamed Ally hausiki na chochote kuhusu performance ya Simba uwanjani

Ahamed Ally ana kazi ya kuwatia moyo na kuhakikisha wanasimba wanaipenda na kui sapoti timu yao no matter what
 
Anavyozungumza kama mwanamke huwa ninahisi aibu sana.

Jamaa anaonekana kichwani ni mweupe sana.

Ally Kamwe anajua sana kujieleza kwa utulivu.

Hawa vijana awali walikuwa wachambuzi wazuri wa michezo pale Azam Media, ila sijui ni kitu gani kikemkuta Ahmed Ally maana anazungumza kama kachanganyikiwa hivi.
Sio kama kachanganyikiwa ila kachanganyikiwa kabisa yule.
 
Ahmed Ally si tatizo Simba. Jamaa ni mfano wa kuigwa kwa wanaojifunza kazi ya usemaji wa timu. Anajua haswa kuhamasisha mashabiki kujaa uwanjani.

Tatizo la Simba ni wachezaji kukosa philosophy , morali na kushindwa kucheza kwa fomesheni hivyo kupata matokeo mabovu.

benchi la ufundi Simba halina uwezo wa kimbinu kufundisha wachezaji .

Rais wa Yanga Eng Hersi kila mechi yuko uwanjani, kwa Simba ni tofauti , kiongozi wao hatumuoni uwanjani kila mechi.

Simba imeporomoka si sahihi kumuangushia jumba bovu Ahmed Ally.
Mangungu mnamtishia kumtoa meno unataka aje kufanya nini kwani yeye hajipendi?
 
Huyo jamaa mwanzoni alikuwa yupo vozuri sana lakini siku hizi sijui kakumbwa na kitu gani. Jamaa kawa kituko sana. Mwambieni aangalie clip zake za mwanzo wakati anaanza kazi Simba na hata akiwa anafanya kazi Azam halafu alinganishe na hizi za hivi karibuni halafu ajirekebishe. Na kikubwa ajue mipaka ya kazi yake. Vinginevyo huko anakoelekea atakuwa kituko zaidi.
 
Huyo jamaa mwanzoni alikuwa yupo vozuri sana lakini siku hizi sijui kakumbwa na kitu gani. Jamaa kawa kituko sana. Mwambieni aangalie clip zake za mwanzo wakati anaanza kazi Simba na hata akiwa anafanya kazi Azam halafu alinganishe na hizi za hivi karibuni halafu ajirekebishe. Na kikubwa ajue mipaka ya kazi yake. Vinginevyo huko anakoelekea atakuwa kituko zaidi.
[emoji23][emoji23][emoji23]

Umeona clip yake ya jana alivyoulizwa kuhusu kupambania nafasi ya pili?
Kwa sauti yake ile kama ya kubana pua,,Anasema simba haipambanii nafasi ya pili bali inairukia, sasa akisema inairukia, jamaa anaruka kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom