Ahmed Ally ni mjukuu wa Kinjekitile?

Ahmed Ally ni mjukuu wa Kinjekitile?

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Kinjekitile Ngwale aliwaaminisha watu wake kuwa risasi za askari wa kijerumani zitageuka maji kwenye vita Ile ya majimaji. Hii iliwafanya watu wengi kujiunga na vita Ile, lakini kusema Kweli Kinjekitile aliwadamganya wenzake wakafa wengi sana. Risasi za adui hazikugeuka maji hata kidogo, walipogwa na kushindwa vita.

Ahmed Ally anajua kuwa watanzania wenzake ni maskini sana kuliko yeye, lakini aliwaaminisha kuwa kulipiwa viingilio na kutazama mechi bure ni haramu. Watu hao maskini sana waioweza kumudu Milo 3 kwa siku wakamuamini na kutumia vijisenti vyao vya kukopa kwenda kuujaza uwanja kwa kuaminishwa kuwa Al-ahly ni timu dhaifu kwa Simba.

Ahmed Ally (kinjekitile) anafahamu kuwa Al-ahly ni timu kubwa na ngumu lakini anawaaminisha kuwa watawafunga goli 3 kama wamesimama vile.

Ahmed Ally anafahamu kuwa timu ya Simba imesajili vibaya lakini anawaaminisha watu wake kuwa ni usajili Bomba sana.

Ahmed Ally anajua kuwa Simba Ina uwekezaji na uongozi mbovu lakini anawaamisha watu wote kuwa Simba hakuna tatizo na watu wanamwamini.

Huu ni weledi wa Ahmed Ally au ujinga wa wanasimba?
 
Sisi: Andaeni Timu yenu
Wao: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yanga Kapangiwa Mamelodi
Sisi: Jamani andaeni Timu Yenu
Wao: ubuthu-botho
Sisi: Jamani angalieni
Wao:Yanga Wamepangiwa Mamelodi
Sisi: Andaeni Timu yenu
Wao: Sisi tunawamudu hawa tushacheza nao Sana.
Sisi: Haya Bhana.[emoji23][emoji23]
 
Sisi: Andaeni Timu yenu
Wao: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yanga Kapangiwa Mamelodi
Sisi: Jamani andaeni Timu Yenu
Wao: ubuthu-botho
Sisi: Jamani angalieni
Wao:Yanga Wamepangiwa Mamelodi
Sisi: Andaeni Timu yenu
Wao: Sisi tunawamudu hawa tushacheza nao Sana.
Sisi: Haya Bhana.[emoji23][emoji23]
Mpo na matokeo ya Simba wakati mna mechi leo.

Mnarudia makosa
 
Atakuwepo
IMG-20240328-WA0275.jpg
 
Wameanza kusema Ahly ni timu kubwa na masandawena ni timu ndogo.
Wanasimba ni kama vile wameshikiwa akili zao. Wachambuzi na Ahmed Ally wanamudu vipi kuwahadaa wanasimba wote kwa wakati mmoja kuwa Simba itaifunga Al-ahly BAO tatu? Wakajileta wooote uwanjani bila hofu tena kwa viingolio usiku wa manane kwq viingolio. Eti Simba hakuna maskini anaehitaji Cha bure!!!. Ni Kweli Simba hakuna anaehitaji msaada?
 
Mpo na matokeo ya Simba wakati mna mechi leo.

Mnarudia makosa
Yanga Haina Cha kupoteza kwenye mechi hii. Walisajili kikosi Cha kufika makundi TU, Huku walikofika hatuwadai kitu hata wakipoteza. Hii ni tofauti na Simba.
 
Back
Top Bottom