Ahmed Ally ni mjukuu wa Kinjekitile?

Ahmed Ally ni mjukuu wa Kinjekitile?

umaskini uliopo yanga ni mkubwa kwa mashibiki kuliko simba
Yanga waliweza kuichangia timu Yao kipindi hakuna wafadhili kwa njia ya bakuli. Viongozi wa Yanga wanalijua hilo, ndio maana Sasa hivi hawaoni sababu kwanini wasiwasaidie mashabiki kipindi Yanga Ina neema. Timu Ina wadhamini wengi na fedha nyingi.
 
Yanga Haina Cha kupoteza kwenye mechi hii. Walisajili kikosi Cha kufika makundi TU, Huku walikofika hatuwadai kitu hata wakipoteza. Hii ni tofauti na Simba.
Cowards

Tutawacheka hivyo hivyo

Itokee tu mmeshinda au kupata sare ndio itakua pona yenu
 
Kinjekitile aliwaaminisha watu wake risasi za askari wa kijerumani zitageuka maji kwenye vita Ile ya majimaji. Hii iliwafanya watu wengi kujiunga na vita Ile, lakini kusema Kweli Kinjekitile aliwadamganya wenzake wakafa wengi sana.

Ahmed Ally anajua kuwa watanzania wenzake ni maskini sana lakini aliwaaminisha kuwa kulipiwa viingolio na kutazama mechi bure ni haramu. Watu hao maskini wakamuamini na kutumia vijisenti vyao vya kukopa kwenda kuujaza uwanja.

Ahmed Ally anafahamu kuwa Al-ahly ni timu kubwa na ngumu lakini anawaaminisha kuwa watawafunga goli 3 kama wamesimama vile.

Ahmed Ally anafahamu kuwa timu ya Simba imesajili vibaya lakini anawaaminisha watu wake kuwa ni usajili Bomba sana.

Ahmed Ally anajua kuwa Simba Ina uwekezaji na uongozi mbovu lakini anawaamisha watu wote kuwa Simba hakuna tatizo na watu wanamwamini.

Huu ni weledi wa Ahmed Ally au ujinga wa wanasimba?
Kwenye Bold ni vyote viwili
 
Shida itakuwepo haiwezi kukosekana

Yani ufungwe afu iwe kawaida kama hakuna chochote kilichotokea?

Uliona wapi?
Sisi sio level ya Mamelodi sasa tukifungwa kuna ajabu gani? by the way malengo yetu ilikua makundi huku tulipo ni bonus nyie ndio mntakiwa kupambana si hua mnajiita Giant kwa Mkapa hatoki mtu
 
Sisi: Andaeni Timu yenu
Wao: [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yanga Kapangiwa Mamelodi
Sisi: Jamani andaeni Timu Yenu
Wao: ubuthu-botho
Sisi: Jamani angalieni
Wao:Yanga Wamepangiwa Mamelodi
Sisi: Andaeni Timu yenu
Wao: Sisi tunawamudu hawa tushacheza nao Sana.
Sisi: Haya Bhana.[emoji23][emoji23]
Aaahaa
 
1717733620794.png
 
Back
Top Bottom