Auto-Marvelt
JF-Expert Member
- Jul 13, 2019
- 1,653
- 3,336
Mlandege alitukungunyua sembuse huyu Galaxy, tumuombe Mungu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2539][emoji2539]Piga spana hao. Ashamed Ally ni kesho la Mtu Mmoja!
Huyu mbona ana nafuu, huko siku za nyuma Nakumbuka msemaji wa Yanga kipindi kile Jerry Muro alikuwa anakichafua hasa kwa maneno ya shombo.Msemaji wa Simba ananisikitisha!!
Nimecheka sana.Ulishawahi kuona mtu anapiga mkwara alafu ameshikilia viatu mkononi muogope sana.. huyo dakika yyte anapotea eneo la tukio..
Robo wanaenda,ban haiumi toa ahadi nyingineWakifuzu robo fainali nipigwe ban ya mwezi mzima.
Hahahahaha..Ilikua Fainali ileMlandege alitukungunyua sembuse huyu Galaxy, tumuombe Mungu tu
Kwenye social media inaitwa Engagement, hapo inaangaliwa post husika imetembea kiasi gani..imepata likes,comments,shared,view ..Huyu mbona ana nafuu, huko siku za nyuma Nakumbuka msemaji wa Yanga kipindi kile Jerry Muro alikuwa anakichafua hasa kwa maneno ya shombo.
Kwa uzoefu wangu nafikiri ukiona Ahmed Ally anaongea hivi ujue anamjibu mtu aliyemkera. Hawa wasemaji sikuhizi wanatabia ya kushindana kwa kupigana vijembe, majivuno na kupenda kusifia timu zao.
Yani wanatengeneza tension au jambo fulani la hovyo ili watu wawe bize kujadili alichokisema.
Kweli makolo mumepagawa, ndio umeandika nini sasa hapa.Piga spana hao. Ashamed Ally ni kesho la Mtu Mmoja!
Ushamba mzigo!Kweli makolo mumepagawa, ndio umeandika nini sasa hapa.
Hata wewe haya unayoyasema yanawakilisha akili za wanayanga washambawashamba.Sikia hayo unayoyasikia ndio akili za wana simba..hata walio humu hizo ndio akili zao..mpumbavu na mbumbumbu hawezi kuwa na akili
SawaWakifuzu robo fainali nipigwe ban ya mwezi mzima.
AahaaaYote haya kasabisha Belouzidad