Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Unahoja ila acha unafkiSasa hiyo ilikuwa siri?Unachanganya mambo.Au neno unafiki unalifanyia mazoezi namna ya kulitumia?
Reference kivip nawakati iliyoanza ni yanga waliojenga wakaja aanzisha simba baadaeWeka reference hapa twende pamoja
Wewe ni 🐸🐸?Reference kivip nawakati iliyoanza ni yanga waliojenga wakaja aanzisha simba baadae
Yanga ni mkubwa kwa simba inatakiwa umuheshimuWewe ni 🐸🐸?
Shida ya haya mamburula simba na Yanga, hata yanapocheza kimataifa yenyewe yamekariri kwamba mpinzani wao ni simba au yanga.View attachment 2952641
Baadhi ya Mashabiki wa Simba waliojilipia nauli zao kusafiri kwenda kuipa support timu yao Nchini Misri
Kila shabiki amejilipia Dola 1200 sawa na Milioni 3,126,000.
Hili swala la Serikali kusafirisha Mashabiki nitatoa maoni yangu nikimalizana na Al Ahly, Sasa hivi akili inawaza namna ya kufuzu Nusu Fainali, Ila msimamo wangu ni kwamba si jambo jema hata kidogo.
Kwa Mashabiki mpira ni starehe hivyo Serikali haiwezi kugharamia watu kwenda kustarehe.
Tena bora ingekua imetoa usafiri tu. Lakini wametoa Posho Dola 500 kila kichwa sawa na Milioni 1,200,000 kwa ufupi hawa Mashabiki wamenuniliwa na wanalipwa kuishangilia timu yao.
Na hao sio Mashabiki wa kawaida ni Machawa wanaotetea maslahi ya viongozi wao yaani Serikali imelipia Machawa wa watu.
Kuwalipia nauli sio kuwapenda ni kufuga tatizo ambalo baadae hatutaweza kulitatua.
Leo unalipia mashabiki wa klabu, kesho Ali Kiba ataiomba Serikali iwagharamie mashabiki wake kwenda Marekani kufanya show utamnyima?
Twaha Kiduku ataomba aende kupigana Uingereza na mashabiki wake utamnyima??
Halafu nyie Nyuma Mwiko acheni kuzuga huwezi kulipia nauli watu 48 ukajidai eti unawapenda mashabiki zenu, Wakati kwenye mechi yenu juzi Mashabiki wameumia, wamepigwa mabomu ya machozi, watu wamepata vilema, na hamjasema chochote halafu uje uzuge eti unawapenda watu wenu.
Ndugu zangu wana Simba hili swala lisiwatie unyonge na wala Serikali yetu haina nia ya kufanya ubaguzi.
Sisi tuendelee na utamaduni wetu kujisimamia tukipata msaada tutachukua lakini katu tusilemae kusubiri dezo.
We are Simba Sisi ni Wakubwa, Sisi ni Wafalme, Sisi tuna hadhi kubwa
Lets focus na mechi yetu ya Ijumaa.
Wewe ni amphibian?Yanga ni mkubwa kwa simba inatakiwa umuheshimu
Simba hawakuomba na wala kupewa kwa siri.Elewa hilo.Tena ilikuwa ni ahadi ya Rais.Sasa walizojilipa Yanga na NW zina baraka za nani?Huo ni wizi uliofichuka accidentally.Unahoja ila acha unafki
Simba wangekua na nia ya dhati na uchungu na nchi wangekataa ela ya goli la mama
Piga demu akupe UTI sugu na gono ndo utajua kwamba starehe ina maumivu ama lahMpira sio starehe. Starehe haina maumivu
Unabwatabwata vitu vidogo huvijui,baada ya mgogoro ndani ya yanga,likatoka kundi na kwenda kuanzisha timu ambayo Leo inaitwa Simba scWeka reference hapa twende pamoja
Lipia hivyo vichekesho.Yanga ni mkubwa kwa simba inatakiwa umuheshimu
Wamepewa nao. Na wakatae basi kama wao ni manunda. Wasingepewa huyu mbwiga angejinyongaKwaiyo ike taarifa ya nyie kuomba msaada mkipiwe kama Yanga ni makosa
Story episode ya ngapi hiyo?Unabwatabwata vitu vidogo huvijui,baada ya mgogoro ndani ya yanga,likatoka kundi na kwenda kuanzisha timu ambayo Leo inaitwa Simba sc
Kwakipi ambacho Yanga imekifanya kizuri na simba haijawahi kukifanya?Yanga inastahili motivation zaidi ya hizi, siyo siri Yanga ndiyo timu inayolibeba Taifa kwa sasa ukiachana na Timu ya Simba inayotutia aibu kila siku.
Tatizo Hadi viazi wa mbarali mnashabikia mpira siku hiziStory episode ya ngapi hiyo?
Simba haijawahi kufika shirikisho 1993,hakukuwa na kombe la shirikisho mwaka huo,hata hivyo kombe linalofananishwa na shirikisho mwaka huo lilichukuliwa na Al ahly kwa ushindi wa goli 3Kwakipi ambacho Yanga imekifanya kizuri na simba haijawahi kukifanya?
Ushabiki mandazi huu.
Simba kaifanya Tz kuingiza timu 4 kwenye mashindano ya CAF wakati huo vyura mnakoroma tu huko kwenye mabwawa yenu ya jangwani .
Simba ni timu ya kwanza Tz kufika 1/4 fainali ya klabu bingwa Afrika mara 4 wakati huo utopolo mnajambajamba tu huko na hakina kapumbu
Simba ni timu ya kwanza Tz kufika fainali ya kombe la shirikisho mwaka1993 we ukiwa bado kwenye korodani na ovari za wazazi wako . Halafu unàsema Yanga kafanya makubwa kwenye soka la Tz.
Utapolo ni hamnazo kabisa , Haji Manara hakukisea
Kwa hili nadhani yuko sahihi hizo pesa Bora zingepelekwa kwenye michezo ya vijana mashuleni
Ki uhalisia hakupaswa kuongea hata kma mawazo yake ni mazuri ila pia Serikali ielekeze nguvu kwenye project za michezo ambako huko hali si nzuri hasa mashuleni huku kwa hivi vilabu mi naona ni kama wanataka sifa za kisiasaWivu unamsumbua ila hii kauli yake imeshamponza. Tangu aende SSC ,weledi kwa huyu jamaa umepungua sana kama ilivyo kwa Ally kamwe.
Kuna namna serikali inatakiwa kuwapiga break hao wanaongea sana .
Simba ni timu isiyokuwa na matumaini yoyote wala malengo na kwasasa inaona choyo kwa hatua za Yanga. Mafanikio makubwa ni kibegi, what else ,
Na chuki zinazidi snaa maana wakati wao wanatumia muda mwingi kwenye majungu, Yanga ina speed up kwenye reforms na area of improvement, Very soon SSC itakuja kuwa kama SINGIDA big stars mbele ya Yanga.
It is the matter of choices and investment
Siri gani nawakati enginer alifanya press conference akaongea wazi wazi kwamba wanaomba msaada kwa mashabiki wanaoenda south afrikaSimba hawakuomba na wala kupewa kwa siri.Elewa hilo.Tena ilikuwa ni ahadi ya Rais.Sasa walizojilipa Yanga na NW zina baraka za nani?Huo ni wizi uliofichuka accidentally.
Timu inasema kufungua whatsApp channel ni mafanikioWivu unamsumbua ila hii kauli yake imeshamponza. Tangu aende SSC ,weledi kwa huyu jamaa umepungua sana kama ilivyo kwa Ally kamwe.
Kuna namna serikali inatakiwa kuwapiga break hao wanaongea sana .
Simba ni timu isiyokuwa na matumaini yoyote wala malengo na kwasasa inaona choyo kwa hatua za Yanga. Mafanikio makubwa ni kibegi, what else ,
Na chuki zinazidi snaa maana wakati wao wanatumia muda mwingi kwenye majungu, Yanga ina speed up kwenye reforms na area of improvement, Very soon SSC itakuja kuwa kama SINGIDA big stars mbele ya Yanga.
It is the matter of choices and investment