Haya Simba Iko top ten ila kombe hata moja hamna! Mbumbumbu fc Katika ubora wako!So CAF Ni vichaa.
Nb: Yanga Ni ya 16 na Ina miaka 25 bila kufunga makundi Cafcl wakati huo Mayele alijua na miaka 2,Fei alikuwa mimba. View attachment 2683319
Simba tayari inamisimu mitano hesabu Toka kipindi tunapigwa hamsaNafasi kwenye viwango vya CAF tunaambiwa ni ukusanyaji wa alama kuanzia makundi kwenda juu kwa muda wa miaka mitano.
Hii kutoka 9 kwenda 7 kigezo nini au ni viti maalum?
Nilikua namaanisha mechi ya mwisho ya Simba ya kupanda viwango vya ubora ilikua dhidi ya WYDAD. Hiyo nafasi ya 9 aliipata kwa kufika ROBO baada ya hapo hakuna mechi aliyocheza ambayo ingeweza kumpandisha viwango.Simba tayari inamisimu mitano hesabu Toka kipindi tunapigwa hamsa
Kwa rank ya sasa ambayo ndio itakayotumika katika mashindano ya msimu ujao ni kwamba Simba inashika nafasi ya 9 na Yanga inashika nafasi ya 18. Hiyo ya Ya Simba kushika nafasi ni 7 na Yanga nafssi ya 16 ni assumption tu ya msimamo wa msimu wa msimu wa 2023/2024 itakayotumika katika msimu wa mwaka 2024/2025 ambapo haijajulikana timu zita perform vipi Uhalisia ni kwamba Simba inashika nafasi ya tisa.Simba Sports Club imepanda viwango vya ubora wa CAF kutoka nafasi ya 9 hadi nafasi ya 7
Hii maana ake ni kuwa msimu ujao katika draw ya hatua ya makundi ya ligi ya mabingwa Afrika, Simba tutawekwa kwenye Port 2 ambayo inahusisha timu kuanzia nafasi ya tano mpaka ya nane
Port A itakua na Al Ahly, Mamelod Wydad na Esparance
Port 2 ndo tutakua Simba na wakubwa wenzetu watatu
Brand yetu inazidi kupaaa na Malengo yetu ni kuingia kwenye Port ya kwanza siku chache zijazo.