Ahmed Ally: Simba ina wachezaji bora na wenye uwezo kuliko Yanga

Kumb we jamaa ni bonge la kilaza aisee 😀

Ndio kaka mimi ni Bonge la kilaza hapa jamii Forum.

Ni kilazwa haswa mjinga wa wajinga .
Kiongozi mkuu wa wapumbavu

Ila napenda upumbavu wangu utoke...

Unatoka pale mtu anaponionyesha nilipo kosea
Anaonyesha kosa na suluhisho lake.

UKIMTUHUMI MTU NI KILAZA HALAFU UONYESHI UKILAZA WAKE UNAWAZA UKAKUTA OPP IS TRUE.
 
NIMESIKIA CHAMA AKILINGANISHWA NA WACHEZAJI WAFUATAO.
1. chama na saido.
2. Chama na Feisal.
3. Chama na Nyonzima.
4. Chama na Max.
5. Chama na Azizi ki.
6. Chama na pakome........
 
SHOMARY KAPOMBE AKILINGANISHWA NA WACHESAJI WAFUATAO.
1. Kapombe na juma abdul.
2. Kapombe na juma shaban
3. Kapombe na zana kolibary.
4. Kapombe na kijiri.
5. Kapombe na duchu, mwenda.
6. Kapombe na yao...........
 
SHABALALA NA WACHEZAJI WAFUATAO.
1. Shabalala na gadiel.
2. Shabalala na Asante kwasi.
3. Shabalala na mwinyi haji.
4.shabalala na lomalisa.
5. Shabalala na JOYCE LOMALISA...........
 
Nasubiri nione mmoja akija na Hoja, point na ushawishi.

Si

Umbea.
Mipasho
Kuropoka.
Kubishana
Matusi
Chuki
Lugha za kuudhi.
Dharau nk.
 
Ukitaka vichekesho hivi unabonyeza ngapi.........

Mimi kwenu wachezaji nano wakubali wawili tu wengine wakawaida.

Hivi kipa aliyekuwa shortlisted nominee wa CAF unataka awe kama wa kwenu ambaye hajawahi kunusa kabisa katika hizo level na kuna uwezekano hasifike.
 

Andika kwa ufasaha kaka.

Au ndio maana Manara anasema wenye nazo ni wawili tu????????
 
SASA ITABIDI NIJITOE TENA HAPA JF.

NILIDHANI KWENYE SIASA NA MAJUKWAA MENGINE NDIO YANA VILAZA KUMBE JF NZIMA IMEVAMIWA.

NILIBADADILI ID NA KUJA JUKWAA LA MICHEZO NAKO NAONA KUMEVAMIWA

MPIRA UNATUKUTANISHA PhD na Std 7
LAKINI HAPA NAONA WAPUMBAVU NA WAJINGA WAMEKUWA WENGI ZAIDI.
 
Andika kwa ufasaha kaka.

Au ndio maana Manara anasema wenye nazo ni wawili tu????????
Andika kwa ufasaha kaka.

Au ndio maana Manara anasema wenye nazo ni wawili tu????????
Andika kwa ufasaha kaka.

Au ndio maana Manara anasema wenye nazo ni wawili tu????????
Andika kwa ufasaha kaka.

Au ndio maana Manara anasema wenye nazo ni wawili tu????????
Hata Rage alisema mashabiki wa Simba ni mambumbumbu na kwenye kwenye kamati yenu ya juzi yumo, kwa ajili ya kuwasimamia mambumbumbu.
 
We jitoe tu kwani utakuwa umezipunguzia server za JF mashudu yako kwani yanajaza server za JF.
 
Hata Rage alisema mashabiki wa Simba ni mambumbumbu na kwenye kwenye kamati yenu ya juzi yumo, kwa ajili ya kuwasimamia mambumbumbu.

Hapana unakuwa Muongo.

Hayo ni maneno yako.

kama hujui alichokisema Bora uwe kimya

FICHA UPUMBAVU WAKO KAKA.
 
😁nimeamini chizi haponi View attachment 2801476

Nakubaliana na Mawazo yako kaka. Mimi nimejikubali kuwa mimk mimi ni chizi, kichaa, kiongozi No 1 wa wapumbavu na siwezi kupona

Lakini kwa heshima na staha na utu si vizuri kuanika picha ya mtu wa namna hiviyo na kuipost hapa jukwaani ukimfananisha na kichaa.

Nadhani unakosea sana.
Nadhani ufute ama ni report kwa moderators.

Huo ni udharilishaji,Chuki ,kutweza utu wa mtu na UKATILI WA KIMTANDAO.

USITUKANE WAKUNGA NA UZAZI UNGALIMO
ASANTE.
 
kwani hao wacgezaji bora wanaowania tuzo za CAF simba ni wangapi???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…