GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ngoja na Mimi Mzururaji GENTAMYCINE nihame Mji sasa kutoka Kuzurula bila ya Mafanikio Mjini Mbarali Mkoani Mbeya juzi na sasa nikazurule zangu Kwingineko Mkoani Mwanza labda Safari hii Mwenyezi Mungu anaweza Kuniona na nikarejea na Kitu na Familia yangu tukuka ya Ilala Kariakoo ikanielewa.
Ahmed Ally bhana. Acha Uchokozi huu.
Ahmed Ally bhana. Acha Uchokozi huu.