Ahmed Ally unafeli sana

CAPO DELGADO

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2020
Posts
8,542
Reaction score
18,340
Habari wakuu.

Leo nimpe somo Ahmed Ally.
Mkuu / MKURUGENZI wa kitengo Cha Habari na Mawasiliano simba.

Nina mengi ya KUKUELEZA lakini si kwa Leo. Afya yangu haipo poa kabisa.

Nimejaribu kutafuta orodha ya Wachezaji wa Simba waliosafiri na timu kwenda Dubai sijapata.

Nimejaribu kutafuta habari ya Wachezaji ambao hawajaenda nimekosa.

Nimejaribu kutafuta habari ya Wachezaji waliopata majeraha.
Moses PHIRI.
Peter Banda
Enock Inonga.

Nimejaribu kuangalia chama alierudi kwao wapi????

Infomatio is power.
Kwa wale wenye kujua Orodha ya Wachezaji WALIOSAFIRI nk naomba msaada.

2.Uongozi wa Simba ACHANENI na magalasa YAFUATAYO.

1. peter Banda.
2. Emarson Okwa.
3. Sadio Kanute.
4. Victor Akpan.
5. Mohamed Ottara nk.

Hawa akina.
Mkude, nyoni, Boko, Kyombo, KIBU,Gadiel, tumewachoka hawana msaada.

Naomba kuwasilisha.
 
Kanoute ana nafuu
 
We umeshaambiwa timu ya Simba inaenda Dubai kuweka kambi. Hizo habari za nani kaenda na nani kabaki ni umbea tu sasa. Simba ni mjumuiko wa wachezaji wote.
 
ACHA WIVU MZEE
Mimi Sina wivu, ao wachezaji hawaendi shopping, ao wanaenda kambini na kuwa kambini katika nchi ya ugeni unakua huna uhuru.
Yaani ni mazoezi na kurudi hotel wakati huu ndio muda wa wachezaji kufanya recovery ya mwili.
Kuweka Kambi maanayake mna vipindi zaidi ya kimoja Kwa Siku, baadae wachezaji wanarudi na fatigue [emoji3][emoji3]
Kambi ya siku Saba nje ya nchi izo ni Siasa au biashara ya Ngada.
 
Haya bana kipindi kijacho watasikiliza ushauri
 
Mpeleke mdogo wako akacheze bas Kama unaona wote uliowataja hawana msaada ,au wee na Bab ako muende mkazibe mapengo ya hapo kwa msimbazi mnk mmekuwa wanako Sana

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Wameingia Cha kike sana

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ngoja wake wakuparue
 
Vyeo vya kupeana weledi utatoka wapi??
Umeshawahi kuhoji ni vipi c.e.o aliyepo aliingiaje pale Simba?
Vipi kuhusu mgunda? Vipi matola? Pale Simba kunanuka rushwa sana
Huna akili kama jamaa ako hapo kwenye avatar
Shida kubwa umejaza kinyesi kwenye pichu yako kachambe
 
Hii kitu hatukubali ikiwezekana kesho tuandamane tukakiamshe hapo Msimbazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…