Hivi sijui kwa nini watu mnakuwa na ujinga wa kuiga mambo ya kiwango cha chini.
Hivi kwa nini usiige hata utambulisho wa kibabe kama wa WWE?
Umewahi kusikia Roman Reign akitambulishwa?
Jifunzeni kwa wakubwa Manara amepata umaarufu kwa kumsifu wema tu kwenye media na kuomesha kumtamani bila kificho, zaidi ya hapo hana lolote Simba ndio ilimbeba
Hivi kwa nini usiige hata utambulisho wa kibabe kama wa WWE?
Umewahi kusikia Roman Reign akitambulishwa?
Jifunzeni kwa wakubwa Manara amepata umaarufu kwa kumsifu wema tu kwenye media na kuomesha kumtamani bila kificho, zaidi ya hapo hana lolote Simba ndio ilimbeba