Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Kama tugange yajayo mbona wanatimuwa kocha?Timu ya Simba imesema yaliyopita sindwele sasa inaganga yajayo, dhidi ya mchezo wake na Namungo Novemba 09, 2023, utakaopigwa katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam, ambapo Meneja wa Habari na Mawasiliano, Ahmed Ally amesema timu kubwa huwa inajipanga baada ya kudondoka.
"Tumekubali tumefungwa dhidi ya mtani wetu, tuumie tunavyoumia lakini lazima tuamke na kusonga mbele, niwaambie wanasimba wawe watulivu, watuamini viongozi"
Juzi aliwambia watu wafanye lolote wanaloliweza ili wapate usingizi. Mama hakukuwa na namna nyingine. FA MASIHARA NINIKama tugange yajayo mbona wanatimuwa kocha?
Leo tawi lao Tanga tunawaweka Kono la nyani kasoro kidole kimoja tuNaona amekuwa mpole .....zile Cheka Cheka za kijinga .... kwishnei
Mnara [emoji113][emoji113] uheshimiwe
TABULELE [emoji113]
Hajatutangazia mgeni rasmi Mechi ya Kesho.Timu ya Simba imesema yaliyopita sindwele sasa inaganga yajayo, dhidi ya mchezo wake na Namungo Novemba 09, 2023, utakaopigwa katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam, ambapo Meneja wa Habari na Mawasiliano, Ahmed Ally amesema timu kubwa huwa inajipanga baada ya kudondoka.
"Tumekubali tumefungwa dhidi ya mtani wetu, tuumie tunavyoumia lakini lazima tuamke na kusonga mbele, niwaambie wanasimba wawe watulivu, watuamini viongozi"