Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujambo? 🥴
Na bado Derby atapangwa arajiga yaani refa mmoja anachezesha mech 7 za tim moja.....Kayoko walikuwa wanasema anawabeba Yanga baada ya Aibu ya Manyara wamemrudisha chaap kayoko MbeyaArajiga ni mwamzi Bora kabisa katika nchi yetu tukubali tukatae, akiamua mchezo kila mpenda mpira Huwa anaridhika kabisa na kuona haki imetendeka
Arajiga msimu huu pekee amechezesha mechi za Yanga 6 Yanga lakini hajapewa mchezo wowote wa Simba auamuwe.
Simba wamekuwa walipewa waamzi wanaopendelea Simba hadharani na waamzi wabovu kabisa
Mfano mwamzi aliyechezesha Jana mechi ya Namungo vs Dodoma Jiji, ameamua michezo mitatu ya Simba na amefanya madudu ya kuipendelea Simba,
Jana amewapa Namungo penalty ya utata
Mwamzi aliyechezesha mechi ya Pamba Jiji na Azam ambaye aliharibu mchezo na Nina Imani atafungiwa
Amechezesha mechi 3 za Simba na huku Simba ikibebwa na kupendelewa wazi wazi
Tatu Malogo, Amina Kyando na waamuzi ambao ni Wanachama wa Simba ndo wamekuwa walipewa mechi za Simba na kuwabeba wazi
Tunaomba bodi ya ligi na kamati ya waamzi muwapangie Simba nao waamzi makini kama Arajiga, Kayoko na Heri Sasi
🤣🤣🤣🤣 Alisema nihamie Yanga😉Nadhani ungempa pole kwanza kisha ukamuuliza anaendeleaje maana mpaka sasa hivi ameanzisha nyuzi 6 za Yanga mara refa…..
🤣🤣🤣🤣 Alisema nihamie Yanga😉
🤣🤣🤣Tumwache kwanza,asijeshindwa nisalimiaAnataka ukawe mshirikina au?
Baaaasiiiiiiiii hii ndo shida🤣🤣Ft Jkt 0 🐸 0
Labda anaandika uzi mwingine😜🤣🤣🤣Tumwache kwanza,asijeshindwa nisalimia
Sawa Kamanda...nakuelewaHamia timu ya wananchi mrembo.
Huko ulipo umbumbumbuni hapakufai naona kidogo Rage hakukulenga wewe, alimaanisha wengine
Hama haraka umbumbumbuni
Nipo masomoni,ukinilipia ada huku nitashukuru sana mkuuChukua kadi ya uanachama wa Yanga kesho
Nimejitolea kuwa nakulipia ada ya uanachama kila mwaka
Una hoja. Usikilizwe. Kama kuna mchezo mchafu unafanyika nyuma ya pazia, basi ni vizuri tukafahamishwa mapema.Arajiga ni mwamzi Bora kabisa katika nchi yetu tukubali tukatae, akiamua mchezo kila mpenda mpira Huwa anaridhika kabisa na kuona haki imetendeka
Arajiga msimu huu pekee amechezesha mechi za Yanga 6 Yanga lakini hajapewa mchezo wowote wa Simba auamuwe.
Simba wamekuwa walipewa waamzi wanaopendelea Simba hadharani na waamzi wabovu kabisa
Mfano mwamzi aliyechezesha Jana mechi ya Namungo vs Dodoma Jiji, ameamua michezo mitatu ya Simba na amefanya madudu ya kuipendelea Simba,
Jana amewapa Namungo penalty ya utata
Mwamzi aliyechezesha mechi ya Pamba Jiji na Azam ambaye aliharibu mchezo na Nina Imani atafungiwa
Amechezesha mechi 3 za Simba na huku Simba ikibebwa na kupendelewa wazi wazi
Tatu Malogo, Amina Kyando na waamuzi ambao ni Wanachama wa Simba ndo wamekuwa walipewa mechi za Simba na kuwabeba wazi
Tunaomba bodi ya ligi na kamati ya waamzi muwapangie Simba nao waamzi makini kama Arajiga, Kayoko na Heri Sasi
🤣🤣🤣🤣 Nimecheka kweli...daah🙌Ukihitimu hutanisaliti kweli wewe?
Naomba tu wakusomeshe wazazi sitaki kufa Kwa pressure
Unaujua vyema mpira mkuuUna hoja. Usikilizwe. Kama kuna mchezo mchafu unafanyika nyuma ya pazia, basi ni vizuri tukafahamishwa mapema.
Wapenda michezo tunatamani kuona waamuzi wakichezesha mpira wetu wa miguu kwa njia ya haki, na pia kwa kufuata sheria 17 za soka! Na siyo kuchezesha mechi kwa ujanja ujanja.
Chasambi anaulizia hela zake, au hamjachangishana!