Ahmed Arajiga kwanini hapewi kuchezesha mechi za Simba?

Ahmed Arajiga kwanini hapewi kuchezesha mechi za Simba?

Arajiga ni mwamzi Bora kabisa katika nchi yetu tukubali tukatae, akiamua mchezo kila mpenda mpira Huwa anaridhika kabisa na kuona haki imetendeka

Arajiga msimu huu pekee amechezesha mechi za Yanga 6 Yanga lakini hajapewa mchezo wowote wa Simba auamuwe.

Simba wamekuwa walipewa waamzi wanaopendelea Simba hadharani na waamzi wabovu kabisa

Mfano mwamzi aliyechezesha Jana mechi ya Namungo vs Dodoma Jiji, ameamua michezo mitatu ya Simba na amefanya madudu ya kuipendelea Simba,

Jana amewapa Namungo penalty ya utata

Mwamzi aliyechezesha mechi ya Pamba Jiji na Azam ambaye aliharibu mchezo na Nina Imani atafungiwa
Amechezesha mechi 3 za Simba na huku Simba ikibebwa na kupendelewa wazi wazi

Tatu Malogo, Amina Kyando na waamuzi ambao ni Wanachama wa Simba ndo wamekuwa walipewa mechi za Simba na kuwabeba wazi

Tunaomba bodi ya ligi na kamati ya waamzi muwapangie Simba nao waamzi makini kama Arajiga, Kayoko na Heri Sasi
Na bado Derby atapangwa arajiga yaani refa mmoja anachezesha mech 7 za tim moja.....Kayoko walikuwa wanasema anawabeba Yanga baada ya Aibu ya Manyara wamemrudisha chaap kayoko Mbeya
 
🤣🤣🤣🤣 Alisema nihamie Yanga😉
Hamia timu ya wananchi mrembo.
Huko ulipo umbumbumbuni hapakufai naona kidogo Rage hakukulenga wewe, alimaanisha wengine
Hama haraka umbumbumbuni
 
Arajiga ni mwamzi Bora kabisa katika nchi yetu tukubali tukatae, akiamua mchezo kila mpenda mpira Huwa anaridhika kabisa na kuona haki imetendeka

Arajiga msimu huu pekee amechezesha mechi za Yanga 6 Yanga lakini hajapewa mchezo wowote wa Simba auamuwe.

Simba wamekuwa walipewa waamzi wanaopendelea Simba hadharani na waamzi wabovu kabisa

Mfano mwamzi aliyechezesha Jana mechi ya Namungo vs Dodoma Jiji, ameamua michezo mitatu ya Simba na amefanya madudu ya kuipendelea Simba,

Jana amewapa Namungo penalty ya utata

Mwamzi aliyechezesha mechi ya Pamba Jiji na Azam ambaye aliharibu mchezo na Nina Imani atafungiwa
Amechezesha mechi 3 za Simba na huku Simba ikibebwa na kupendelewa wazi wazi

Tatu Malogo, Amina Kyando na waamuzi ambao ni Wanachama wa Simba ndo wamekuwa walipewa mechi za Simba na kuwabeba wazi

Tunaomba bodi ya ligi na kamati ya waamzi muwapangie Simba nao waamzi makini kama Arajiga, Kayoko na Heri Sasi
Una hoja. Usikilizwe. Kama kuna mchezo mchafu unafanyika nyuma ya pazia, basi ni vizuri tukafahamishwa mapema.

Wapenda michezo tunatamani kuona waamuzi wakichezesha mpira wetu wa miguu kwa njia ya haki, na pia kwa kufuata sheria 17 za soka! Na siyo kuchezesha mechi kwa ujanja ujanja.
 
Una hoja. Usikilizwe. Kama kuna mchezo mchafu unafanyika nyuma ya pazia, basi ni vizuri tukafahamishwa mapema.

Wapenda michezo tunatamani kuona waamuzi wakichezesha mpira wetu wa miguu kwa njia ya haki, na pia kwa kufuata sheria 17 za soka! Na siyo kuchezesha mechi kwa ujanja ujanja.
Unaujua vyema mpira mkuu
 
Neno "MWAMZI" Umelirudia zaidi ya mara 3... HIVI YANGA MNALEWA VISUNGURA ILI MPATE NINI??
 
Back
Top Bottom