To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Eeh bhana,ughaibuni ya uyole mbeyaKumbe upo Ughaibuni mrembo unakula kitabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeh bhana,ughaibuni ya uyole mbeyaKumbe upo Ughaibuni mrembo unakula kitabu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hujambo? [emoji3061]
🤣🤣🤣
Ubaya ubwela🤣🤣🤣Arajiga ni mwamzi Bora kabisa katika nchi yetu tukubali tukatae, akiamua mchezo kila mpenda mpira Huwa anaridhika kabisa na kuona haki imetendeka
Arajiga msimu huu pekee amechezesha mechi za Yanga 6 Yanga lakini hajapewa mchezo wowote wa Simba auamuwe.
Simba wamekuwa walipewa waamzi wanaopendelea Simba hadharani na waamzi wabovu kabisa
Mfano mwamzi aliyechezesha Jana mechi ya Namungo vs Dodoma Jiji, ameamua michezo mitatu ya Simba na amefanya madudu ya kuipendelea Simba,
Jana amewapa Namungo penalty ya utata
Mwamzi aliyechezesha mechi ya Pamba Jiji na Azam ambaye aliharibu mchezo na Nina Imani atafungiwa
Amechezesha mechi 3 za Simba na huku Simba ikibebwa na kupendelewa wazi wazi
Tatu Malogo, Amina Kyando na waamuzi ambao ni Wanachama wa Simba ndo wamekuwa walipewa mechi za Simba na kuwabeba wazi
Tunaomba bodi ya ligi na kamati ya waamzi muwapangie Simba nao waamzi makini kama Arajiga, Kayoko na Heri Sasi
🤣🤣Niache na Simba yangu😉🥴🥴Duuuh hapo kweli ni haki uwe kolo😂😅
Kayoko mechi kibao anachezesha ni vile ww hufuatiliiNa bado Derby atapangwa arajiga yaani refa mmoja anachezesha mech 7 za tim moja.....Kayoko walikuwa wanasema anawabeba Yanga baada ya Aibu ya Manyara wamemrudisha chaap kayoko Mbeya
kayoko anachezesha mech ila kama Kapigwa pin,Yaani anatupwa sehemu asisikike mfano atacheza Game ya Dodoma Jiji atapowa kama likizo,wanamuibua tenah kwa Mashujaa labdah yaani sio consistent kama kina arajiga ,refa wa mech ya Namungo juz🤣🤣🤣alietoa penalty ya kipuuzi sijawai onaKayoko mechi kibao anachezesha ni vile ww hufuatilii