Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
- Thread starter
-
- #21
Vito...Mkuu, lakini hao wamakonde walipofika Zanzibar,.... Waliongozwa na John Okello kwenye Mapinduzi .. . Okello ndio alikuwa front line kwenye mapambano....Halafu hicho kitabu nasikia kilipigwa marufuku.
Ungekuwa mjanja na unataka kuelimika ingekuwa mapema ushatambua kuwa unajadiliana na mjuzi anaeifahamu vyema historia ya mapinduzi.
Usingekuwa unajifanya kujua ilhali huna moja ulijualo.
Sasa nakupa nafasi ya kuuliza maswali nikufunze historia ya mapinduzi.
Hiyo picha hapo chini niko katika ufukwe wa Kipumbwi wakati wa utafiti kuliangalia pori la mafunzo na sehemu majahazi yaliyokuwa yakiwavusha Wamakonde yalipokuwa yakiegesha nk. nk.
Unasema kitabu kilipigwa marufuku.
Kilipigwa marufuku lini ilhali hata hicho kitabu hakijafika nchini?
Kwa nini huandika mambo unayoyajua?