Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Can someone please tell me in detail who is this guy?
what is the connection between him and Uhuru?
why he hates Raila?
exactly what is his CV?
Is he a kikuyu? a somali?
He is a prominent layer by profational.his orriginality is a somali one,he was amonge the members of a commition which used for vetting of juges,including the supprime cort juges.lakini ajabu ni kwamba yeye amekuwa wa kwanza kuikosowa iebc kwa jinsi walivyo endesha uchaguzi,ela ghafla bin vuu,kabadilika baada ya kuajiriwa na iebc,kuiwakilisha.lmekuwa tomato mbovu ya jana leo imekuwa mzima.
Mind you Sir,Uhuru is regarded the Richest guy in the land. I mean His will can be done whatsoever He want! Ahmednassir amenasa kwa KAMWANA's Pocket! BTW, The Boss umeshuhudia matokeo ya Supreme Court Order to Scrutinize the only 22 polling stations? Uhuru aliongezewa 6000 votes Na Raila akapigwa panga 11,000 Votes. Just in 22 polling station. Je wangefukunyua kote?
Can someone please tell me in detail who is this guy?
what is the connection between him and Uhuru?
why he hates Raila?
exactly what is his CV?
Is he a kikuyu? a somali?
Dah the guy is so smart, I saw him in the court yesterday and the way he was contextulizing issues left even the bench more attentive. He's so direct and stands by his opinion in circumstances of counter-challenges, I saw this when Lord Justice Smokin Wanjiru challenged him about twice or more. He's so narrative and seems to be much prepared on this petition with a number of citations on court decisions and election grievancies across the world. He represents one among the respondents either the IEBC or Uhuru Kenyatta. In my view he was man of the show for yesterday
Can someone please tell me in detail who is this guy?
what is the connection between him and Uhuru?
why he hates Raila?
exactly what is his CV?
Is he a kikuyu? a somali?
He was the best
and he finished it with 14 minutes left
Uhuru will have to thanks this guy if the petition failed
Really?
I likened him to Dida.
Other than his sense of humor I didn't see anything else that impressed me much.
But then again I like to think that my bar is a tad bit higher than most people's.
Ulitazama lakini jana utetezi wake mahakamani?
au unzungumzia kama Dida kivipi?
He is a prominent layer by profational.his orriginality is a somali one,he was amonge the members of a commition which used for vetting of juges,including the supprime cort juges.lakini ajabu ni kwamba yeye amekuwa wa kwanza kuikosowa iebc kwa jinsi walivyo endesha uchaguzi,ela ghafla bin vuu,kabadilika baada ya kuajiriwa na iebc,kuiwakilisha.lmekuwa tomato mbovu ya jana leo imekuwa mzima.
I was glued to the TV na zaidi ya kuleta humor hapa na pale sikuona lolote la zaidi lililonivutia kuhusu weledi wake.
Dida naye katika ile midahalo alikuwa mtu wa humor na sound bites.
Ni mjanja mno
labda hukumuelewa strategy yake
alikuwa anajaribu kuibana court hadi judge mmoja akamwambia
a stick na kutetea client wake na sio court iliyoko in trial...
the guy yuko vizuri kisheria ingawa kumbe ananunulika
mimi huwa nasoma his weekly column Sunday Nation...so maybe nam judge hivyo
Pale alirudishwa ndani ya mstari maana alianza kwenda off topic!
Niliona alikuwa anaitaja sana Supreme Court ya Marekani pamoja na kesi ya Bush v Gore.
Anafuatilia sana mambo ya Marekani....but who doesn't? Lol
Dah the guy is so smart, I saw him in the court yesterday and the way he was contextulizing issues left even the bench more attentive. He's so direct and stands by his opinion in circumstances of counter-challenges, I saw this when Lord Justice Smokin Wanjiru challenged him about twice or more. He's so narrative and seems to be much prepared on this petition with a number of citations on court decisions and election grievancies across the world. He represents one among the respondents either the IEBC or Uhuru Kenyatta. In my view he was man of the show for yesterday
Ni mjanja mno
labda hukumuelewa strategy yake
alikuwa anajaribu kuibana court hadi judge mmoja akamwambia
a stick na kutetea client wake na sio court iliyoko in trial...
the guy yuko vizuri kisheria ingawa kumbe ananunulika
mimi huwa nasoma his weekly column Sunday Nation...so maybe nam judge hivyo
Tatizo la huyu jamaa yeye anajua kila kitu,ni mbishi mawazo yake ndio yawe yako usipotaka anakufungulia misahafu y a sheria,pia ni mwanasheria tajiri ingawa hamfikii marehemu Nyaga Mawalla !