Ahmedy Ally hao mashabiki unaowajaza upepo usisahau machela na Ambulance za kutosha maana ijumaa wataanguka wengi kwa presha

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
"tuna kocha Bora na tuna wachezaji Bora Simba sc lazima itamtoa Al ahly na kuingia nusu Fainali" Ahmedy Ally

Swali kikosi Bora kipo wapi? Ni kikosi hiki hiki kilichokua na migogoro na mashabiki mpaka wakasusa kuingia uwanjani?!

Mbona mnawachukulia kuwa mashabiki wa Simba sc ni mbumbumbu Kama alivyosema Rage?!

Maoni Yangu: Naona kundi la mashabiki wakidondoka uwanjani kwa presha baada ya kupigwa na kitu kizito kwa kufuata kauli za Ahmedy Ally.
 
Sisi kawaida yetu hapo. Tunasubiri nyie mliokuwa mnatucheka
 
Hee wee jamaa huna nyuzi zinazohusu timu yako??? Kwahyo nyie mnavyolishwa matango pori na hali kamweee inakuwaje...
Mnajaza seva za JF uzi wa 50 huu
Huyu NALIA NGWENA apunguze shobo maana mechi yao walishatangaza Bure bado tena anahangaika humu JF kufanya hamasa inamaana Mashabiki wao Uongozi hauwaamini kama hata bure wanaweza wasije?! 😂😂😂
 
Jifunze kuwa na kiasi kwa Kila jambo unalofanya, yaani unaonekana kama Mtu usiyejielewa Mkuu 😂😂😂
 
Semaji letu tukifungwa anakuwa mdogo sana
 
Mbona unateseka sana na Simba yetu,hangaika na utopolo yenu
 
Huko utopolo hadi msemaji alizimia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…