GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Hovyoooooooooooooooooo....................................!!!!!
Ahmedy Ally bado mechi 29 tuwe mabingwa.
"Tumekaa kwenye kilele sasa bado mechi ishirini na tisa hatutashuka hapo inshallah, Simba ya safari hii ni timu ya hatari sana na hapa ukiangalia ndio vijana wanajitafuta."
Ahmed Ally Msemaji wa Simba Sports Club.
Na kama wana Simba SC hamjui nani ndiyo anatuponza Kimatokeo kwa Sisi Kukamiwa NBC Premier Leauge ni huyu.
Ahmedy Ally bado mechi 29 tuwe mabingwa.
"Tumekaa kwenye kilele sasa bado mechi ishirini na tisa hatutashuka hapo inshallah, Simba ya safari hii ni timu ya hatari sana na hapa ukiangalia ndio vijana wanajitafuta."
Na kama wana Simba SC hamjui nani ndiyo anatuponza Kimatokeo kwa Sisi Kukamiwa NBC Premier Leauge ni huyu.
