Ahmedy Ally: Hatutashuka kwenye nafasi ya kwanza ligi kuu ya NBC

Ahmedy Ally: Hatutashuka kwenye nafasi ya kwanza ligi kuu ya NBC

Mkuu Genta wa kulaumiwa si huyo comedian bali walaumiwe viongozi waliomweka huyo comedian kwenye hiyo nafasi nyeti. Hivi wasemaji dizaini ya akina Kamwaga na Ndimbo siku hizi hawapo maana naona imekuwa fasheni sasa kila timu inaweka comedian kwenye hiyo nafasi. Na wote wanajitahidi kuwa kama Manara wakati kuna Manara mmoja tu nchi hii.
Ulipomtaja Ndimbo na Kamwaga nikamkumbuka Dismas Ten alikuwa mtu na nusu pale Yanga.
 
Hovyoooooooooooooooooo....................................!!!!!

Ahmedy Ally bado mechi 29 tuwe mabingwa.
"Tumekaa kwenye kilele sasa bado mechi ishirini na tisa hatutashuka hapo inshallah, Simba ya safari hii ni timu ya hatari sana na hapa ukiangalia ndio vijana wanajitafuta."
🎙️
Ahmed Ally Msemaji wa Simba Sports Club.

Na kama wana Simba SC hamjui nani ndiyo anatuponza Kimatokeo kwa Sisi Kukamiwa NBC Premier Leauge ni huyu.
Kuitwa mbumbumbu hakukosea kabisa
 
Back
Top Bottom