NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Njoo ufute kauli yako uliyotamba wiki nzima kwenye hamasa na kutoa kejeli za kusema kuwa Yanga Sc siyo level ya Simba Sc.
Kwa kipigo Cha goli 5 kwa 1 nafikili kitakua kimekufunza Nini maana ya mpira na siyo kuropoka na kutoa maneno ya kejeli.
Ahsante Kennedy Musonda, Aziz Key, Mzize Yao Yao, Pakome na timu nzima kwa ujumla hakika mmejua kufunga midomo ya MAKOLOKWINYO.
Kwa kipigo Cha goli 5 kwa 1 nafikili kitakua kimekufunza Nini maana ya mpira na siyo kuropoka na kutoa maneno ya kejeli.
Ahsante Kennedy Musonda, Aziz Key, Mzize Yao Yao, Pakome na timu nzima kwa ujumla hakika mmejua kufunga midomo ya MAKOLOKWINYO.