Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji12][emoji12][emoji12]Ona hili zuzu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Magu ni refa? Mama ni refa? Kweli mpira umevamiwa na vilaza
Mayele kapakatwa
Pumba kabisa, unaleta Mambo ya fb humuMayele kapakatwa
Kwa hisia zako aiseSimba ni content kwako
Kweli mkuu upo sahihiUngekuwa muungwana ungetaja na mechi ambazo Simba tumebebwa! Ukiandika kishabiki hivi husaidii soka letu!Makosa ya marefa yapo katika mechi nyingi sana labda wewe umeamua kuiangalia yanga pekee!
Kwa hiyo unaunga mkono hojaYuko sahihi
VAR zinatumika kwenye hiz hatua saiv cjui utasingizia nn uko NigeriaKwa hisia zako aise
Umeelewa kweli nilichokiandika mkuu.Lingwena
Unamatatizo kwamba Simba dhaifu keshokutwa inafungwa ,ligi yetu dhaifu
NdiyoKwa hiyo unaunga mkono hoja
Na mtalalamika sana ubingwa wa mchongo, kutesa kwa zamu, Magu aliwabeba sana mkapendelewa sana kafa mnatapatapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hamgusi ubingwa adi mama la mama amalize mda wake 2030 hukooo
Akili Hana huyo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ona uyu mwingine[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we uko sawa kichwani kweli?