NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Ungekuwa kwetu TANGA tungesema una GUBU.Hayo ni maneno ya Ahmedy Ally msemaji wa Simba sc.
Baada ya kauli hiyo ya kusema kuwa Okwa hajaonesha uwezo na ndiyo maana makocha wamemuweka benchi.
NALIA NGWENA kwa mawazo yangu nauliza Mkude alipokuwa benchi na hakuwa na kiwango Bora mbele ya Sadio kanuti??
Simba Kuna janja janja nyingi sana.
Ok basi sasa hivi yanga..enhee leta mpya!Kila wakati Simba Simba!!!!!
Mkuu , kuna watu huwa wanajitoa ufahamu hadi wanakuwa kama wehu.Sasa mkuu kiwango cha putin na mkude wa sasa vinafanana kweli??au umeamua tu kutafuta wa kubishana naye??
Wachezaji wa Tz wanalegea mapema sana, wakishajua wana mkataba na mshahara wa kudumu wanalegea mnoUnless uwe umeuliza swali ili ubishane ila unafiki pembeni jonas mkude recently amekuwa akicheza "kifaza" sana yaani amerelax wakati tunategemea yeye akate umeme.
Kiwango kilishuka thats why akawekwa benchi na kanoute.
Kila Kocha anataka timu yake ishinde hivyo haiingii akilini kocha amuache mchezaji ambaye anaweza kuisaidia timu ishinde na amuweke mchezaji asiyetoa mchango wa maana kwa timu,kocha wa namna hayupo popote. Na suala la Kocha kupangiwa kikosi huo ni uzushi pia,yaani uongozi ulipe mamilioni kwa Kocha halafu waje wampangie kikosi nayo haiingii akilini. Okwa ameshindwa tu kucheza arudi kwao akacheze kamari.Hayo ni maneno ya Ahmedy Ally msemaji wa Simba sc.
Baada ya kauli hiyo ya kusema kuwa Okwa hajaonesha uwezo na ndiyo maana makocha wamemuweka benchi.
NALIA NGWENA kwa mawazo yangu nauliza Mkude alipokuwa benchi na hakuwa na kiwango Bora mbele ya Sadio kanuti??
Simba Kuna janja janja nyingi sana.
True, yaani kwa aina ya uchezaji wa mkude hasa kuzuia mashambulizi na zile pass zake zilizonyooka ni mtu ambae angebaki kwa muda mrefu sana.Wachezaji wa Tz wanalegea mapema sana, wakishajua wana mkataba na mshahara wa kudumu wanalegea mno
Ila bado Simba hawajafanya mengi kupunguza wahuni kwenye kikosi, bado wafanyakazi hewa ni wengi mnoTrue, yaani kwa aina ya uchezaji wa mkude hasa kuzuia mashambulizi na zile pass zake zilizonyooka ni mtu ambae angebaki kwa muda mrefu sana.
Ila kuridhika kumemfanya wamteme mapema na ukichanganya na mafanikio ya jirani basi hawako tayari kukaa na mtu asiye na mchango kwenye team.
Ni upuzi tuKila wakati Simba Simba!!!!!