NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Hayo ni maneno ya Ahmedy Ally msemaji wa Simba sc.
Baada ya kauli hiyo ya kusema kuwa Okwa hajaonesha uwezo na ndiyo maana makocha wamemuweka benchi.
NALIA NGWENA kwa mawazo yangu nauliza Mkude alipokuwa benchi na hakuwa na kiwango Bora mbele ya Sadio kanuti??
Simba Kuna janja janja nyingi sana.
Baada ya kauli hiyo ya kusema kuwa Okwa hajaonesha uwezo na ndiyo maana makocha wamemuweka benchi.
NALIA NGWENA kwa mawazo yangu nauliza Mkude alipokuwa benchi na hakuwa na kiwango Bora mbele ya Sadio kanuti??
Simba Kuna janja janja nyingi sana.