Ahmedy Ally: Yanga Sc wamepiga simu Azam media kuwa wafute interview ya Fiston kalala Mayele

Ahmedy Ally: Yanga Sc wamepiga simu Azam media kuwa wafute interview ya Fiston kalala Mayele

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
"Nyuma Mwiko wamewapigia simu Azam Media na kuwaamuru wafute Interview ya Mayele na kuziondoa Clip zote zilipostiwa katika mitandao ya kijamii kitu ambacho kimeshafanyika"

Maoni Yangu: wanayanga sahivi wamekomaa Kiakili kuanzia viongozi mpaka mashabiki, lilitengenezwa sakata la Feisal Salumu kuanza kurusha maneno kila zinapokua mechi muhimu lakini Juhudi za watengenezaji script ziligonga mwamba.

Ushauri wa Bure kwa Ahmedy Ally ajikite kwenye Kuwashuri viongozi wa Simba sc kusajili wachezaji wazuri ili mashabiki waburudike na siyo kujikita kwenye Mambo ya Yanga Sc.
 
Mashabiki wa Simba Kwa sasa wameamuka huu ujinga kaupost lakn katukanwa Sana ya kuwa mambo ya mayele na yanga hayatoisaidia timu kwenye Darby ya trh 29 April
 
Ahmed Ally hana anachojua juu ya wajibu wake wa kuisemea taasisi iliyomuajili badala yake anafanya mambo tofauti ili tu kuwasahaulisha washabiki wa Simba juu ya mwenendo mbovu wa timu yao.
 
"Nyuma Mwiko wamewapigia simu Azam Media na kuwaamuru wafute Interview ya Mayele na kuziondoa Clip zote zilipostiwa katika mitandao ya kijamii kitu ambacho kimeshafanyika"

Maoni Yangu: wanayanga sahivi wamekomaa Kiakili kuanzia viongozi mpaka mashabiki, lilitengenezwa sakata la Feisal Salumu kuanza kurusha maneno kila zinapokua mechi muhimu lakini Juhudi za watengenezaji script ziligonga mwamba.

Ushauri wa Bure kwa Ahmedy Ally ajikite kwenye Kuwashuri viongozi wa Simba sc kusajili wachezaji wazuri ili mashabiki waburudike na siyo kujikita kwenye Mambo ya Yanga Sc.
Uyo Ahmed Aly si ndio Rage alisema azimtoshi kichwani?
 
Tumeisha waambia Hizo timu kuzishobokea sana kupita kiasi tatizo.

Kila muda simba yanga.
Muda wote mnawaza simba na yanga, hilo ni tatizo na ni kaugonjwa fulani hivi.

Simba na Yanga zimekuwa Dini Tanzania kutwa kucha ni kuziabudu tu.

Mnachezewa Danganya Toto na Goverment maana hivyo ni vyombo vyao vya propaganda.

MWENYE MASIKIO NA ASIKIE.
 
Ila Yanga hakunaga mchezaji anaondokaga salama kama akipata dau la pesa nzuri.
Sio kweli, Mayele aliagwa vzuri sana na Uongozi wa Yanga na mashabiki


Feisal..... Kila tukikaribia mechi kubwa ya ligi alikuwa analeta drama,tuna shukuru "paka lilijificha ila kia lake lilionekana"[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Azam companies ifike mahali wajue Kuna ukomo wa uvumilivu wa figisu zao juu ya timu yetu ya Yanga,

Uongozi wa Yanga mmezidi upole na nyinyi bwana, huo sio ustarabu sasa ni ujinga! Kumbukeni mpira unachezwa ndani na nje ya uwanja!
 
Back
Top Bottom