Ahmedy Ally: Yanga Sc wamepiga simu Azam media kuwa wafute interview ya Fiston kalala Mayele

Ahmedy Ally: Yanga Sc wamepiga simu Azam media kuwa wafute interview ya Fiston kalala Mayele

"Nyuma Mwiko wamewapigia simu Azam Media na kuwaamuru wafute Interview ya Mayele na kuziondoa Clip zote zilipostiwa katika mitandao ya kijamii kitu ambacho kimeshafanyika"

Maoni Yangu: wanayanga sahivi wamekomaa Kiakili kuanzia viongozi mpaka mashabiki, lilitengenezwa sakata la Feisal Salumu kuanza kurusha maneno kila zinapokua mechi muhimu lakini Juhudi za watengenezaji script ziligonga mwamba.

Ushauri wa Bure kwa Ahmedy Ally ajikite kwenye Kuwashuri viongozi wa Simba sc kusajili wachezaji wazuri ili mashabiki waburudike na siyo kujikita kwenye Mambo ya Yanga Sc.
Tunasema Kila siku hiki cheo hakizisaidii hizi timu mnapinga. Sasa huyu ni Msemaji wa Simba au wa Mayele?
 
Tumeisha waambia Hizo timu kuzishobokea sana kupita kiasi tatizo.

Kila muda simba yanga.
Muda wote mnawaza simba na yanga, hilo ni tatizo na ni kaugonjwa fulani hivi.

Simba na Yanga zimekuwa Dini Tanzania kutwa kucha ni kuziabudu tu.

Mnachezewa Danganya Toto na Goverment maana hivyo ni vyombo vyao vya propaganda.

MWENYE MASIKIO NA ASIKIE.
Ajabu na wewe kila siku umo humu
 
"Nyuma Mwiko wamewapigia simu Azam Media na kuwaamuru wafute Interview ya Mayele na kuziondoa Clip zote zilipostiwa katika mitandao ya kijamii kitu ambacho kimeshafanyika"

Maoni Yangu: wanayanga sahivi wamekomaa Kiakili kuanzia viongozi mpaka mashabiki, lilitengenezwa sakata la Feisal Salumu kuanza kurusha maneno kila zinapokua mechi muhimu lakini Juhudi za watengenezaji script ziligonga mwamba.

Ushauri wa Bure kwa Ahmedy Ally ajikite kwenye Kuwashuri viongozi wa Simba sc kusajili wachezaji wazuri ili mashabiki waburudike na siyo kujikita kwenye Mambo ya Yanga Sc.
Ifike mahali simba iache kushadadia petty little things, huo ni utoto. Simba ina matatizo internaly tena major issues ambazo zina athiri hadi team, kwann wasi focus huko kwanza and kuwchia mashabiki ndio wahangaike na maneno? Simba what happened to you
 
"Nyuma Mwiko wamewapigia simu Azam Media na kuwaamuru wafute Interview ya Mayele na kuziondoa Clip zote zilipostiwa katika mitandao ya kijamii kitu ambacho kimeshafanyika"

Maoni Yangu: wanayanga sahivi wamekomaa Kiakili kuanzia viongozi mpaka mashabiki, lilitengenezwa sakata la Feisal Salumu kuanza kurusha maneno kila zinapokua mechi muhimu lakini Juhudi za watengenezaji script ziligonga mwamba.

Ushauri wa Bure kwa Ahmedy Ally ajikite kwenye Kuwashuri viongozi wa Simba sc kusajili wachezaji wazuri ili mashabiki waburudike na siyo kujikita kwenye Mambo ya Yanga Sc.
Ahmed Ali amekosa relevancy kabisa. Badala ya kuisemea Simba na kupromote brand ya Simba amekuwa anatumia sehemu kubwa ya muda wake kuisema Yanga na indirectly kupromote brand ya Yanga. Hajui kuwa duniani hapa hamna bad publicity, kwa hiyo kila anapoisema Yanga anakuwa anaipromote Yanga. Baada ya Yanga kupangwa na Mamelodi alitumia muda mwingi kusema kuwa huo ndiyo mwisho wa Yanga, lakini ikasababisha mchezo wa Yanga kuwa maarufu kuliko ule wa Simba
 
Mukoko na Mazembe yake wako nusu Cafcl
Kisinda alienda na kuchukua kombe Morroco
Shabani Nonda
Niyonzima alienda kwao na kombe akachukua
Morrison alienda kwao na kombe akachukua
Fei kaenda Azam na anapambana top scorer kenge yule alituotea Ile mechi waliyovunja wachezaji wetu
n.k
KWELI MKUU [emoji2935]
 
Ifike mahali simba iache kushadadia petty little things, huo ni utoto. Simba ina matatizo internaly tena major issues ambazo zina athiri hadi team, kwann wasi focus huko kwanza and kuwchia mashabiki ndio wahangaike na maneno? Simba what happened to you
Kweli mkuuu.
 
Back
Top Bottom