NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
- #21
MAJINI UNAYAJUA?!Kwa nini mnaendelea kumtupia majini??????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MAJINI UNAYAJUA?!Kwa nini mnaendelea kumtupia majini??????
Ninayafuga,vipi mkuu unahitaji tufanye biashara,karibu tuongee nitakupozea bei.MAJINI UNAYAJUA?!
Tunasema Kila siku hiki cheo hakizisaidii hizi timu mnapinga. Sasa huyu ni Msemaji wa Simba au wa Mayele?"Nyuma Mwiko wamewapigia simu Azam Media na kuwaamuru wafute Interview ya Mayele na kuziondoa Clip zote zilipostiwa katika mitandao ya kijamii kitu ambacho kimeshafanyika"
Maoni Yangu: wanayanga sahivi wamekomaa Kiakili kuanzia viongozi mpaka mashabiki, lilitengenezwa sakata la Feisal Salumu kuanza kurusha maneno kila zinapokua mechi muhimu lakini Juhudi za watengenezaji script ziligonga mwamba.
Ushauri wa Bure kwa Ahmedy Ally ajikite kwenye Kuwashuri viongozi wa Simba sc kusajili wachezaji wazuri ili mashabiki waburudike na siyo kujikita kwenye Mambo ya Yanga Sc.
Ajabu na wewe kila siku umo humuTumeisha waambia Hizo timu kuzishobokea sana kupita kiasi tatizo.
Kila muda simba yanga.
Muda wote mnawaza simba na yanga, hilo ni tatizo na ni kaugonjwa fulani hivi.
Simba na Yanga zimekuwa Dini Tanzania kutwa kucha ni kuziabudu tu.
Mnachezewa Danganya Toto na Goverment maana hivyo ni vyombo vyao vya propaganda.
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE.
Ifike mahali simba iache kushadadia petty little things, huo ni utoto. Simba ina matatizo internaly tena major issues ambazo zina athiri hadi team, kwann wasi focus huko kwanza and kuwchia mashabiki ndio wahangaike na maneno? Simba what happened to you"Nyuma Mwiko wamewapigia simu Azam Media na kuwaamuru wafute Interview ya Mayele na kuziondoa Clip zote zilipostiwa katika mitandao ya kijamii kitu ambacho kimeshafanyika"
Maoni Yangu: wanayanga sahivi wamekomaa Kiakili kuanzia viongozi mpaka mashabiki, lilitengenezwa sakata la Feisal Salumu kuanza kurusha maneno kila zinapokua mechi muhimu lakini Juhudi za watengenezaji script ziligonga mwamba.
Ushauri wa Bure kwa Ahmedy Ally ajikite kwenye Kuwashuri viongozi wa Simba sc kusajili wachezaji wazuri ili mashabiki waburudike na siyo kujikita kwenye Mambo ya Yanga Sc.
Hivi ukimuangalia Ahmed Ali anavyo ongea, body gestures zake unaona ni mtu mwenye utimamu wa akili?Tunasema Kila siku hiki cheo hakizisaidii hizi timu mnapinga. Sasa huyu ni Msemaji wa Simba au wa Mayele?
Pengine ndio njia pekee ya kutuliza hali ya hewaIfike mahali simba iache kushadadia petty little things, huo ni utoto. Simba ina matatizo internaly tena major issues ambazo zina athiri hadi team, kwann wasi focus huko kwanza and kuwchia mashabiki ndio wahangaike na maneno? Simba what happened to you
Ahmed Ali amekosa relevancy kabisa. Badala ya kuisemea Simba na kupromote brand ya Simba amekuwa anatumia sehemu kubwa ya muda wake kuisema Yanga na indirectly kupromote brand ya Yanga. Hajui kuwa duniani hapa hamna bad publicity, kwa hiyo kila anapoisema Yanga anakuwa anaipromote Yanga. Baada ya Yanga kupangwa na Mamelodi alitumia muda mwingi kusema kuwa huo ndiyo mwisho wa Yanga, lakini ikasababisha mchezo wa Yanga kuwa maarufu kuliko ule wa Simba"Nyuma Mwiko wamewapigia simu Azam Media na kuwaamuru wafute Interview ya Mayele na kuziondoa Clip zote zilipostiwa katika mitandao ya kijamii kitu ambacho kimeshafanyika"
Maoni Yangu: wanayanga sahivi wamekomaa Kiakili kuanzia viongozi mpaka mashabiki, lilitengenezwa sakata la Feisal Salumu kuanza kurusha maneno kila zinapokua mechi muhimu lakini Juhudi za watengenezaji script ziligonga mwamba.
Ushauri wa Bure kwa Ahmedy Ally ajikite kwenye Kuwashuri viongozi wa Simba sc kusajili wachezaji wazuri ili mashabiki waburudike na siyo kujikita kwenye Mambo ya Yanga Sc.
Mukoko na Mazembe yake wako nusu CafclMsuva vipi
KWELI MKUU [emoji2935]Mukoko na Mazembe yake wako nusu Cafcl
Kisinda alienda na kuchukua kombe Morroco
Shabani Nonda
Niyonzima alienda kwao na kombe akachukua
Morrison alienda kwao na kombe akachukua
Fei kaenda Azam na anapambana top scorer kenge yule alituotea Ile mechi waliyovunja wachezaji wetu
n.k
Kweli mkuuu.Ifike mahali simba iache kushadadia petty little things, huo ni utoto. Simba ina matatizo internaly tena major issues ambazo zina athiri hadi team, kwann wasi focus huko kwanza and kuwchia mashabiki ndio wahangaike na maneno? Simba what happened to you