Best Daddy
JF-Expert Member
- Apr 2, 2019
- 950
- 1,672
- Thread starter
-
- #21
Maisha yanabadilika Mkuu. Haya maisha ya kuamini timu pinzani ni ile ile ni moja ya Sababu ya Yanga kuwa bora zaidi ya Simba miaka mitatu iliyopita.Sajili za makolo huwa ni za mihemko tu ngoja ngoma ianze tutayaona yale yale ya kina Fred na Jobe!
Nafasi ya tatu ndio inapendeza zaidi kolokoloni kwasasa!
Peter Banda japo sio mzuri kwa ubora wa Jean, ila hakuwa mbaya yule mtoto.Peter Banda alikua na Umri gani na si alitoka ulaya Team iliyoifunga Madrid UEFA tena Bernabeu?
Takwimu pekee haziwezi kukupa picha kamili kuhusu ubora wa mchezaji, japo zina nafasi yake katika kutambua ubora wa mchezaji.Tunaomba takwimu zao wote kuanzia Aziz ki alivyokua Mvp na pacome pia ndio umalizie na huyo ili tu ujue ka yaliyomo yamo?
Kramo alikuwa ni moja ya Wachezaji bora sana. Ila narudi tena, kama nilivyosema hapo awali kwamba; Injury ndio mchawi mkubwa wa vipaji vya wachezaji.Kremooo mlisema hivyohivyooo dhambiyake haitwaachaa
Hatupo kuitisha Young Africans, au mpinzani yeyote ila kuna wakati ukweli lazima usemwe Mkuu.Yanga ndo babalao haiogopi yoyote,hizo nyuzi zenu mnazoziazisha subirini ligi ianze
Katika hili nitatumia imani yangu kuomba kijana alindwe na hizi nguvu za wapinzani.Alindwe sana ili wale Wachawi wa mitaa ya Twiga wasije wakamloga.
Nimeamua kumpa msimu mwingine tuone perfomance yake. Japo ni moja ya wachezaji bora sana, ila nimechagua kumpa muda kidogo.Bila Yao Yao list ni batili.
Hii kauli ya " Machachari" inatumika vibaya sana kushusha ubora wa wachezaji.Sakho alikua na mchachari ila hana hatari kivile
Hiyo nafasi ya takwimu ndio naitaka Mimi maana ndio rahisi kujua kuliko kuzunguuka viwanjani kama scoutTakwimu pekee haziwezi kukupa picha kamili kuhusu ubora wa mchezaji, japo zina nafasi yake katika kutambua ubora wa mchezaji.
Ndio maana Mascout wanazunguka katika mechi, ili kujua uhalisia wa mchezaji. Nenda kaangalie baadhi ya mechi zake na ukijumlisha kwa takwimu basi utakuja kukubaliana na kupinga na hiki kilichosemwa.
Umeanza kufuatilia mpira liniHadi sasa kawa ni moja ya wachezaji bora kuwahi kupita katika ardhi yetu katika miaka ya hivi karibuni:
Clatous Chama
Luis Miquissone(1st Move to Simba)
Morrison (1st move to Yanga)
Aziz ki
Pacome
Sakho
Kipre
Diarra.
Hawa nitawataja kwa heshima.
Emmanuel Okwi
Nonda Shabani
Patrick Mafisango
Haruna Nyonzima(1st move to Yanga)
Hamis Tambwe
Kipre Tcheche
Nitamalizia kwa kuwataja:
Fiston Mayele
Meddie Kagere ya
Miaka zaidi 30 katika soka la Tanzania. Miaka zaidi ya 20 soka la kimataifa(Ulaya & South America).Umeanza kufuatilia mpira lini
Jujuumkuuu achakabisaaKramo alikuwa ni moja ya Wachezaji bora sana. Ila narudi tena, kama nilivyosema hapo awali kwamba; Injury ndio mchawi mkubwa wa vipaji vya wachezaji.
Vs mechi ya Tabora iliyozuiwa kuchezeshwa wachezaji wa kigeni na Fountain gate iliyozuiwa kutumia wachezaji wa kigeni. Mna haraka sana ya kuhitimisha wakati muda bado sanaHaya sasa waje waliokuwa wanabeza huu usajili