Ahoua Jean Charles usajili bora zaidi Tanzania

Ahoua Jean Charles usajili bora zaidi Tanzania

Sajili za makolo huwa ni za mihemko tu ngoja ngoma ianze tutayaona yale yale ya kina Fred na Jobe!

Nafasi ya tatu ndio inapendeza zaidi kolokoloni kwasasa!
Maisha yanabadilika Mkuu. Haya maisha ya kuamini timu pinzani ni ile ile ni moja ya Sababu ya Yanga kuwa bora zaidi ya Simba miaka mitatu iliyopita.

Wakati unajenga timu, wengi waliamini Yanga ni ile ile ya kina Sarpong, tunakuja kushtuka Yanga unatimu bora sana. Kuja kuamka usingizini ni too late.
 
Peter Banda alikua na Umri gani na si alitoka ulaya Team iliyoifunga Madrid UEFA tena Bernabeu?
Peter Banda japo sio mzuri kwa ubora wa Jean, ila hakuwa mbaya yule mtoto.

Injury, Injury ndio mchawi mkubwa wa viwango vya wachezaji wengi.
 
Tunaomba takwimu zao wote kuanzia Aziz ki alivyokua Mvp na pacome pia ndio umalizie na huyo ili tu ujue ka yaliyomo yamo?
Takwimu pekee haziwezi kukupa picha kamili kuhusu ubora wa mchezaji, japo zina nafasi yake katika kutambua ubora wa mchezaji.

Ndio maana Mascout wanazunguka katika mechi, ili kujua uhalisia wa mchezaji. Nenda kaangalie baadhi ya mechi zake na ukijumlisha kwa takwimu basi utakuja kukubaliana na kupinga na hiki kilichosemwa.
 
Tuwape muda simba sasa hivi bado wanakusanya hatua ya pili wanatakiwa kuelewana hii ndio kazi kubwa ya kocha.
 
Takwimu pekee haziwezi kukupa picha kamili kuhusu ubora wa mchezaji, japo zina nafasi yake katika kutambua ubora wa mchezaji.

Ndio maana Mascout wanazunguka katika mechi, ili kujua uhalisia wa mchezaji. Nenda kaangalie baadhi ya mechi zake na ukijumlisha kwa takwimu basi utakuja kukubaliana na kupinga na hiki kilichosemwa.
Hiyo nafasi ya takwimu ndio naitaka Mimi maana ndio rahisi kujua kuliko kuzunguuka viwanjani kama scout
 
Hadi sasa kawa ni moja ya wachezaji bora kuwahi kupita katika ardhi yetu katika miaka ya hivi karibuni:

Clatous Chama
Luis Miquissone(1st Move to Simba)
Morrison (1st move to Yanga)
Aziz ki
Pacome
Sakho
Kipre
Diarra.

Hawa nitawataja kwa heshima.

Emmanuel Okwi
Nonda Shabani
Patrick Mafisango
Haruna Nyonzima(1st move to Yanga)
Hamis Tambwe
Kipre Tcheche

Nitamalizia kwa kuwataja:

Fiston Mayele
Meddie Kagere ya
Umeanza kufuatilia mpira lini
 
Kramo alikuwa ni moja ya Wachezaji bora sana. Ila narudi tena, kama nilivyosema hapo awali kwamba; Injury ndio mchawi mkubwa wa vipaji vya wachezaji.
Jujuumkuuu achakabisaa
 
Taratibu safari yake anaianza. ⭐🌟
IMG_20240902_164423.jpg
 
Haya sasa waje waliokuwa wanabeza huu usajili
 
Haya sasa waje waliokuwa wanabeza huu usajili
Vs mechi ya Tabora iliyozuiwa kuchezeshwa wachezaji wa kigeni na Fountain gate iliyozuiwa kutumia wachezaji wa kigeni. Mna haraka sana ya kuhitimisha wakati muda bado sana
 
Back
Top Bottom