Ahoua Jean Charles usajili bora zaidi Tanzania

Ahoua mmoja sawa na Yanga nzima
Wachezaji wote wa Yanga wameshaonesha ubora na viwango vyao dhidi ya wapinzani waliokuwa kwenye ubora. Huyo Ahoua kacheza vs APR, Vs Yanga, vs Coastal na kila mmoja alitoa maoni kuwa Simba bado haijapata mtu sahihi. Ila kuifunga timu zenye udhaifu ndio mnabadilisha nyimbo. Ngoja muda utasema mbeleni
 
Wakati anasajiliwa Babacar Sarr tuliambiwa kamkaba Ronaldo
 
Chama msimu uliopita akiwa Simba alitoa assist 6..Ahoua kwenye mechi mbili tu ametoa Assist 3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…