Ahsante MwanaJF wewe kwa mapokezi yako mazuri

Ahsante MwanaJF wewe kwa mapokezi yako mazuri

Ndio alirudi nyumbani, halafu akaniambia nikihitaji usafiri nimuite. Na kweli asubuhi saa moja na nusu nikamuita akanipeleka nilipotaka kwenda. Nilifarijika sana kwa kweli. JF ina faida
Kweli JF ina faida lakini kuna nyingine ulizozipata unatubania watu wako humu.
 
Kwenye mada moja kwa moja bila kupiga kona kona.

Natoa ahsante nyingi kwako MwanaJF ambaye uko Moshi, ulivyonipokea kwa ukarimu wa hali ya juu. Nasema kutoka moyoni nimefarijika sana. Ulitenga muda wako kunipokea, hadi kunipeleka hotelini na hata kesho yake uliendelea kunisupport kwa usafiri wako kunipeleka sehemu ambazo nilipaswa kwenda. Uliahirisha shughuli zako kwa muda kwa ajili yangu.

Mungu akubariki sana. Nakushukuru sana. Ulinipa heshima kubwa ambayo sikutegemea.

WanaJF tushikamane, nawapenda wooote hapa nitataja tu baadhi lakini hata kama sijakutaja popote ulipo amini nakuthamini mwanaJF mwenzangu.
Mshana Jr, Mulhat Mpunga , Mzee Ngoda95 myoyambendi Madam Mwajuma Patience123 mng'ato Mr. MTUI Kilemakyaaro Mangi flani hivi Miss Natafuta Kididimo Sakayo Roho Mbaya Joseverest Mwifwa

😀😀mlengwa umejiona nimekutagi hapo. Ningekutagi peke yako wangejua ni nani aliyenipokea.
Asante sana NAHUJA... Ulistahili mapokezi uliyopata kutokana na hadhi yako, utu wako na heshima yako kwa wote.. Keep it up...,!!!
 
Ndio ndio mkuu NAHUJA anamlaumu kiaina lakini jamaa sijui kama analitambua hilo..unajua kama alifanikiwa mambo yake huwa mtu anahitaji refreshment kabla hajaondoka eneo husika

Yeye hakupata hizo refreshment yote hiyo kutokana na uzembe wa kaka mchagga
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Maana kama yote hayo hamkuyafanya basi hilo limjamaa li lijanaume zembe haijawahi kutokea katika mkoa wa Kilimanjaro na Afrika Mashariki na Kati.
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom