Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,773
- 3,471
Kweli JF ina faida lakini kuna nyingine ulizozipata unatubania watu wako humu.Ndio alirudi nyumbani, halafu akaniambia nikihitaji usafiri nimuite. Na kweli asubuhi saa moja na nusu nikamuita akanipeleka nilipotaka kwenda. Nilifarijika sana kwa kweli. JF ina faida
Asante sana NAHUJA... Ulistahili mapokezi uliyopata kutokana na hadhi yako, utu wako na heshima yako kwa wote.. Keep it up...,!!!Kwenye mada moja kwa moja bila kupiga kona kona.
Natoa ahsante nyingi kwako MwanaJF ambaye uko Moshi, ulivyonipokea kwa ukarimu wa hali ya juu. Nasema kutoka moyoni nimefarijika sana. Ulitenga muda wako kunipokea, hadi kunipeleka hotelini na hata kesho yake uliendelea kunisupport kwa usafiri wako kunipeleka sehemu ambazo nilipaswa kwenda. Uliahirisha shughuli zako kwa muda kwa ajili yangu.
Mungu akubariki sana. Nakushukuru sana. Ulinipa heshima kubwa ambayo sikutegemea.
WanaJF tushikamane, nawapenda wooote hapa nitataja tu baadhi lakini hata kama sijakutaja popote ulipo amini nakuthamini mwanaJF mwenzangu.
Mshana Jr, Mulhat Mpunga , Mzee Ngoda95 myoyambendi Madam Mwajuma Patience123 mng'ato Mr. MTUI Kilemakyaaro Mangi flani hivi Miss Natafuta Kididimo Sakayo Roho Mbaya Joseverest Mwifwa
ππmlengwa umejiona nimekutagi hapo. Ningekutagi peke yako wangejua ni nani aliyenipokea.
Hatukufanya mapenzi!!!Mlitumia condom?
ππππππππππNdio ndio mkuu NAHUJA anamlaumu kiaina lakini jamaa sijui kama analitambua hilo..unajua kama alifanikiwa mambo yake huwa mtu anahitaji refreshment kabla hajaondoka eneo husika
Yeye hakupata hizo refreshment yote hiyo kutokana na uzembe wa kaka mchagga
Wabeja kulumba nkoi
Bali mlifanya ngono?Hatukufanya mapenzi!!!
Hatukufanya mapenzi ya aina yoyote ile (kujamiiiiiaaana) hahahahahahahBali mlifanya ngono?
Ila denda mlikulana?Hatukufanya mapenzi ya aina yoyote ile (kujamiiiiiaaana) hahahahahahah
hahahhaahhah, uwiiiiiii.Ila denda mlikulana?
Ulimpata dadaangu kwa bahati mbaya...! LohIla denda mlikulana?
Maana kama yote hayo hamkuyafanya basi hilo limjamaa li lijanaume zembe haijawahi kutokea katika mkoa wa Kilimanjaro na Afrika Mashariki na Kati.hahahhaahhah, uwiiiiiii.
Kuna faida gani kama hakukugegeda? Bure kabisa
hahahahahahahahhahaAlikupa sh ngapi by the way?
ni nani huyo niende Moshi nikamalizie?hahahahahahahahhaha
πππππππππππππMaana kama yote hayo hamkuyafanya basi hilo limjamaa li lijanaume zembe haijawahi kutokea katika mkoa wa Kilimanjaro na Afrika Mashariki na Kati.
Nitakwambia PMni nani huyo niende Moshi nikamalizie?