Ahsante MwanaJF wewe kwa mapokezi yako mazuri

Umemsahau Putin.
 
Yaani alinipokea vizuri sana, na hivi gari ilifika usiku kama saa nne na madakika mengi! akanipeleka hotelini, kesho yake tena akanizungusha sehemu zilizokuwa natakiwa kwenda, kusema kweli nilifarika sana.
Na kama sikosei alikupeleka hotelini kwake. Ana roho njema sana kwa tunaomfahamu. Mungu Azidi kumzidishia [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Wivu sikutajwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…