Ahsante MwanaJF wewe kwa mapokezi yako mazuri

Ahsante sana NAHUJA, ungenianika pekee yangu hapa huko PM kwangu pasingekalika.....

Na mimi nichukue fursa hii kutoa pongezi kwa wanaJF wote hasa wale wenye moyo wa kuthamini, kusaidia wenzio kwa hali na mali japo kwa ushauri tu.

Mungu awabariki wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…