Ahsante Rais Samia, kwa hili Watumishi wa Umma tumekuelewa sana

Ahsante Rais Samia, kwa hili Watumishi wa Umma tumekuelewa sana

Sina muda wa kubishana na zuzu ambaye aliishia darasa la pili.

Mimi sio wa mtumishi wa(ndani,kuchunga ng'ombe) kama ulivyojitambulisha wewe. Mimi ni mtumishi wa umma ambaye najielewa. Siwezi kusifia wakati nina madai lukuki ninayoidai serikali.

Wewe mnyonge njoo tukupigishe foreni kwenye huduma za umma hadi akili zikukae sawa. Na babu yenu hayupo kipindi hiki mbona mtanyooka tu.

Hata asipoongeza mishahara kwa kipindi chote hiki nanyi mtapata huduma duni hivyohivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
yaani wewe ni bwege la mwaka yaani unajisifia kupangisha foleni watu? utawapangisha mburua kama wewe sisi wenye akili zetu tuko vizuri yaani wewe ni pimbi tu kwangu hunifikii hata robo tangu lini mtumishi wa uma ukajilinganisha na mtu aliyeajiri watu popomatu wewe nautaendelea kulilia maslahi mpaka unakufa na bado ukistaafu utaanza kupanga foleni mafao yaani nakuona kama chizi tu fulani hivi huna mbele wala nyuma mtumishi huwezi kulinganisha na mimi fala wewe
 
yaani wewe ni bwege la mwaka yaani unajisifia kupangisha foleni watu? utawapangisha mburua kama wewe sisi wenye akili zetu tuko vizuri yaani wewe ni pimbi tu kwangu hunifikii hata robo tangu lini mtumishi wa uma ukajilinganisha na mtu aliyeajiri watu popomatu wewe nautaendelea kulilia maslahi mpaka unakufa na bado ukistaafu utaanza kupanga foleni mafao yaani nakuona kama chizi tu fulani hivi huna mbele wala nyuma mtumishi huwezi kulinganisha na mimi fala wewe
Mzee kunywa maji kidogo, mwandiko wako haufanani na mwajiri.

Walioajiri hawashindi na kukesha kwenye mitandao ya kijamii kutukana watu. Wao huingia kwenye mitandao kuelimisha watu.

Kama kweli umeajiri basi utakuwa umeuajiri mdomo wako ili utukane watu.

Jisogeze hapo kwa mama Gaude unywe hata chai ya mkono mmoja upate nafuu.

Na kwa taarifa yako foleni lazima upange na ukiingia tu ofisini nakupangia urudi siku nyingine. Wanyonge your reign is over.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee kunywa maji kidogo, mwandiko wako haufanani na mwajiri.

Walioajiri hawashindi na kukesha kwenye mitandao ya kijamii kutukana watu. Wao huingia kwenye mitandao kuelimisha watu.

Kama kweli umeajiri basi utakuwa umeuajiri mdomo wako ili utukane watu.

Jisogeze hapo kwa mama Gaude unywe hata chai ya mkono mmoja upate nafuu.

Na kwa taarifa yako foleni lazima upange na ukiingia tu ofisini nakupangia urudi siku nyingine. Wanyonge your reign is over.

Sent using Jamii Forums mobile app
UTAWAPANGISHA MBURURA WENZIO SIYO MIMI NAWEZA KUKULISHA WEWE NA FAMILIA YAKO NAWATOTO NA NIKITAKA NAWAPIGA MITI VILEVILE
 
Sina muda wa kubishana na zuzu ambaye aliishia darasa la pili.

Mimi sio wa mtumishi wa(ndani,kuchunga ng'ombe) kama ulivyojitambulisha wewe. Mimi ni mtumishi wa umma ambaye najielewa. Siwezi kusifia wakati nina madai lukuki ninayoidai serikali.

Wewe mnyonge njoo tukupigishe foreni kwenye huduma za umma hadi akili zikukae sawa. Na babu yenu hayupo kipindi hiki mbona mtanyooka tu.

Hata asipoongeza mishahara kwa kipindi chote hiki nanyi mtapata huduma duni hivyohivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba kupangisha watu foleni nayo ni sifa!?[emoji23][emoji23][emoji23] Wake up bro.

Lazima tusifie hata kwa matumaini tunayopewa awamu hii.

Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
 
UTAWAPANGISHA MBURURA WENZIO SIYO MIMI NAWEZA KUKULISHA WEWE NA FAMILIA YAKO NAWATOTO NA NIKITAKA NAWAPIGA MITI VILEVILE
Mzee ukiingia mahakamani, hospitali, shuleni, TRA, TBS, TANESCO, UHAMIAJI, POLICE STATION, nk. Sisi watumishi utatukuta tumejaa huko na foleni lazima upange wewe mnyonge.

Na kipindi hiki wanyonge mtateseka sana. Yaani hadi huruma tunawaonea sema hatuna namna lazima mteseke ndiyo mkakati uliopo na umeshaanza kufanya kazi.

Wanyonge nendeni kwenye kibanda chenu cha mabati mkaendelee kuabudu.

Kwanza kuendelee kubishana na wewe ni kwa vile nina wanyonge nimewapngisha hapo nje kwahiyo kadili unavyojibu wenzio wanateseka hapo nje na huenda na wewe ni miongoni mwao na kama haupo siku ukija wembe ni uleule.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwamba kupangisha watu foleni nayo ni sifa!?[emoji23][emoji23][emoji23] Wake up bro.

Lazima tusifie hata kwa matumaini tunayopewa awamu hii.

Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
Mzee mwenzangu matumaini hayawezi kutulisha. Ahadi haziwezi kunipeleka dukani wala kunilipia bili zangu na hata kuendeleza miradi yangu inayonipa heshima mtaani kwangu kipindi hiki.

Muda huu najiandaa kuandika kwenye kitabu cha kutoka ili niende kwenye miradi yangu.

Mkuu ahadi za wanasiasa haziwezi kunifikisha popote. Nitabadili mwenendo wa kazi wanasiasa wakijua kuwa na mimi nipo nahitaji kuthaminiwa kama wanvyojithamini wao.

Hii dunia hatuishi mara mbili na matumaini hayanipi mkate nyumbani kwangu. Mkate nitaupata kupitia harakati zangu na zimeshaanza kunilipa kuliko hata huo utumishi. Nitaendelea kuwa mtumishi just for security and not more.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliajiriwa 2013 tokea hapo sijawahi panda daraja.

Mwendazake alinyonya sana haki yetu.

Tena zile haki za kisheria kama increments ila mama ameponya majeraha ya msukuma.

Watumishi kwenye BAJETI 2021/22.

1. PAYE imeshushwa kutoka 9% mpaka 8%.

2. Bil 449 kwa ajili ya kupandisha vyeo watumishi 92,619.

3. Kutolewa kwa 6% ya tozo ya kulinda thamani ya mkopo wa elimu ya juu (Value Retention Fees).

4. Madiwani, Maafisa Tarafa na Watendaji kata kulipwa 100,000 kila mwezi kama posho.

5. Michango ya PSSF kulipwa direct kutoka Hazina badala ya ofisi za serikali kupeleka zenyewe.

TUMEKUELEWA mama, tunasubiri nyongeza ya mwakani.

Ijumaa nilipata barua yangu ya daraja safiii na sasa nasubiri NMB kitu kipya kiteme.

Ila kiukweli ukisomaa sheria za utumishi, kwasasa nilistahili kuwa juu ya daraja hili nililopandishwa sasa, ila yule msukuma yule sijui anaenda kuongoza malaika gani wanaozuia haki za watu tena za kisheria.

#ASANTE MAMA.

Cha ajabu kupandishwa huku madaraja mpaka MATAGA wamefurahia.

Yaani MATAGA walewale waliokuwa wana "support" mwendazake asiongeze kitu, ndio haohao wanaokenua mama alivyoongeza..!!!

#YNWA
Taifa la kupongeza watu hili
Endelea kupongeza hadi unastaaf wengine nao wadakie
 
Pelekeni ujinga wenu wa ubinafsi huko, mnafikiri kila mtu kaajiriwa na serikali.
Nyinyi Mwendazake alikataa kuwapandisha madaraja na marupurupu kwasababu wengi ni majizi ya nchi hii,mnajitungia semina za ajabu ajabu kisha mnakula hela yetu ya kodi.

Watumishi wenyewe wavivu,wezi na wala rushwa wakubwa
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] umemaliza mkuu
 
Hata asipoongeza mishahara kwa kipindi chote hiki nanyi mtapata huduma duni hivyohivyo.
Tangu lini mlitupa huduma iliyotukuka? Ndo maana JPM alipowanyoosha tulimuunga mkono
Tumeishazoea kuwaonga,tutawaonga mtuhudumie,wala foleni hatukai.
ila ujumbe ninaokupatia ni huu: Leo upo ofisi ya umma,kesho ni zamu ya mwingine kuwemo ofisini na mwanao atabebeshwa mzigo
tena wa kwake utakuwa mzito sana(Karma).
Asiyeamini ninachokisema akamuulize mzee wa bao la mkono.
 
Tatizo ninaloliona hapa ni kwamba,watumishi wa umma mliajiriwa na umma moja kwa moja tangu mlipotoka vyuoni,Kama mngeajiriwa angalau miezi miwili na wahindi au wachina ndo ungenielewa.Lakini kwa sababu mliingia kwenye neema moja kwa moja,
alipokuja mtawala aliyewaonyesha kilichopo upande wa pili mnalaani mbingu na ardhi.
Na kwa kukupa taarifa tu, hakuna mtu anayenyonywa kama niliowataja,wakitanguliwa na mkulima.

Na hili ndilo kundi kubwa linaloumia nchi hii,maana lenyewe halijui kitu kinaitwa kupanda madaraja kwa mujibu wa sheria
ni bidii yako na pengine hata hiyo bidii isionekane kabisa,na huna mtu wakumdai rushwa maana ukimzingua mteja anahamia ofisi nyingine
inayotoa huduma kama hiyo. Ofisi za umma mnatupangisha foleni mpaka jioni na kesho yake tunarudi
maana hakuna mbadala.
Akiwezeshwa mtumishi makundi mengine yote yanaambukizwa kwa sbb watz tunabebana mno,,we ar more than extended families
 
msisahau Benki zimetakiwa kushusha RIBA Haswa BENKI yenu ya NMB imeshauriwa ipunguze RIBA kwa watumishi wa umma ili waweze kujikwamua kiuchumi, lkn pia iweke utaratibu wa kuwa kopesha vyombo vya moto yaani magari au pikipiki kwa kuingia mikataba na makampuni yanayo uza magari kama vile wanavyo fanyiwa wabunge.
angalau nia njema inaonekana.
 
Tangu lini mlitupa huduma iliyotukuka? Ndo maana JPM alipowanyoosha tulimuunga mkono
Tumeishazoea kuwaonga,tutawaonga mtuhudumie,wala foleni hatukai.
ila ujumbe ninaokupatia ni huu: Leo upo ofisi ya umma,kesho ni zamu ya mwingine kuwemo ofisini na mwanao atabebeshwa mzigo
tena wa kwake utakuwa mzito sana(Karma).
Asiyeamini ninachokisema akamuulize mzee wa bao la mkono.
Una stress mbaya sana,hakikisha wanao hawa rithi
 
Akiwezeshwa mtumishi makundi mengine yote yanaambukizwa kwa sbb watz tunabebana mno,,we ar more than extended families
Basi tutumie neno mwananchi,badala ya kusema mtumishi. Ninachokiona wote tunamalalamiko sawa ila
wanaoitwa watumishi ndo mabwana,maana wanaoitwa watumishi wanakalia viti vya kuzunguka vyenye sponji,sisi tunaotumikiwa ndo tunapanga foleni juani,
na unaweza ukapanga hiyo foleni siku tatu mfululizo na hiyo haki yako usipate usipojiongeza.
 
Una stress mbaya sana,hakikisha wanao hawa rithi
Ndo maana mimi siyo mtumishi wa umma,nipo tayari kuwapa ukweli,ili mkitaka niwaonge niwe nimeishawapa iliyo haki yenu nyuma ya key board ya komputa.
 
Basi tutumie neno mwananchi,badala ya kusema mtumishi. Ninachokiona wote tunamalalamiko sawa ila
wanaoitwa watumishi ndo mabwana,maana wanaoitwa watumishi wanakalia viti vya kuzunguka vyenye sponji,sisi tunaotumikiwa ndo tunapanga foleni juani,
na unaweza ukapanga hiyo foleni siku tatu mfululizo na hiyo haki yako usipate usipojiongeza.
Mfagizi wa ofisi, gardener., Fundi bomber, bwana kilimo, bwana mifugo, askari wa wanyama pori, hawa wanazunguka na viti ofisini ?
 
Tangu lini mlitupa huduma iliyotukuka? Ndo maana JPM alipowanyoosha tulimuunga mkono
Tumeishazoea kuwaonga,tutawaonga mtuhudumie,wala foleni hatukai.
ila ujumbe ninaokupatia ni huu: Leo upo ofisi ya umma,kesho ni zamu ya mwingine kuwemo ofisini na mwanao atabebeshwa mzigo
tena wa kwake utakuwa mzito sana(Karma).
Asiyeamini ninachokisema akamuulize mzee wa bao la mkono.
Survive for the fittest, that is the nature. Hakuna cha karma wala mjukuu wake.

Wakati mnamshangilia madudu ya huyo mwendazake hamkujua kama kuna karma?

Wakati watumishi, wafanyabiashara na wakulima wananyanyasika karma ilikuwa haijazaliwa?

Huu ni wakati wa watumishi na wafanya biashara kula bata. Hata kama hataongeza mshahara tumepata uhuru wa kufanya na mambo yetu.
 
msisahau Benki zimetakiwa kushusha RIBA Haswa BENKI yenu ya NMB imeshauriwa ipunguze RIBA kwa watumishi wa umma ili waweze kujikwamua kiuchumi, lkn pia iweke utaratibu wa kuwa kopesha vyombo vya moto yaani magari au pikipiki kwa kuingia mikataba na makampuni yanayo uza magari kama vile wanavyo fanyiwa wabunge.
angalau nia njema inaonekana.
Sifa zote kwa kiongozi bora "THY MAMA"

#YNWA
 
Mzee mwenzangu concern yangu ni pale ulipokuja na sifa za kumtetea huyo mama as if malaika ametua madhabahuni.

Kingine, sijamaanisha kwamba unategemea mshahara tu, hata mimi sitegemei mshahara tu.

Halafu madeni ninayowadai nimeshayasamehe hizo faranga tumbueni tu huko juu, baada ya kuzungushwa kama mtoto kwenye madai yangu nimeshaapa kutopeleka nyaraka ya madai popote pale. Nimeridhika na mshahara wangu huu. Laki 2 zinanitosha mimi na familia yangu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi,ukitumainia madai,akili inadumaa kabisa.
Heri utumie nguvu&muda huo wa kudai kufanya shughuli zingine.
Fanya kazi kwa kadili
ya stahiki zako.
 
Hivi ni lini mwalimu wa Tanzania naye ataanza kulipwa posho?

Kumkubali huyo mama ambaye ni zao la udhalimu wa mwendazake mimi wala siungani naye. Kipindi nateseka alikuwa VP na hakuwahi hata kutoa tamko.

Watumishi tuna madai mengi sana kuanza kusifia mapema namna hii wakati hadi muda hakuna kilichobadilika mfukoni inaonesha ni jinsi gani watumishi wa umma hatujielewi.

CCM ni ileile na viongozi ni walewale. Watumishi wa umma ni muda kutafuta malisho mengine huku tukifanya kazi zao kadiri tunavyolipwa.

Mtumishi wa umma kumsubiri mwanasiasa akupe mishahara minono ni sawa kumtegemea shetani akupeleke mbinguni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea mambo mazuri sana
 
Back
Top Bottom