Ahsante Sana.........juma Reli


Wewe Ras Nungwi wacha maneno ya Mkahawani. Wewe kama una uwezo si gombea hizo,nafasi nani amekuzuia, au wewe mwenyewe unawasiwasiwasi na kisomo chako. usaidaharau Wakunga na Uzazi ungaliko.
 

Pakacha,

Kama ni kweli muandishi kaweka quotation marks wakati siyo direct quote then Juma Reli anatakiwa kuwashurutuisha wamuombe msamaha na kusahihisha ama sivyo awa sue hilo gazeti.

Otherwise tutajuaje nani anasema kweli?
 
Epa,richmond,makaa Ya Mawe Kiwira Na Sasa Chenge Na Rada!!!! Yote Hayo Hakuna Linaloendelea Katika Nchi Hii,kisha Mnaanza Kuangalia Nafsi Za Ajira Zanzibar Ndani Ya Bot,mpika Chai Ndio Nini,mlinzi Ndio Nini!!! Zote Kazi,it Na Mambo Mengine Zote Kazi Ndani Ya Bot.je Nawauliza Wazanzibar Wenzangu,sector Ya Utalii Mbona Wameasha Wageni Wakitawala Kila Hotel Bila Kujua Kama Uchumi Wao Unapotea Na Watu Wengi Kukosa Ajira!!!! Tuangalia Kwanza Utalii Sisi Ndio Utatulipa!!!!
 

Inawezekana huyo kiongozi anakumbuka wale wabunge waliooa wasomali na kuwapitisha kwenda ujerumani. Inawezekana walionewa, wangekuwa wabara wasingefanyiwa lolote!
Hivi hao wabunge hata mahakamani walifikishwa hao, au waliachwa tu?
 

Pengine unapochagua mtu asiye maadili na uwezo BOT ndiyo mwanzo wa mwanya wa kupata EPA.

Kwa hiyo mambo ya maadili ya uongozi na utaalamu BOT ni muhimu sana kuzungumziwa.
 
Mheshimkiwa Fundi. Upande huo Bwana jazba mbele . Wao katika kila kitu jazba zinatawala. Kuna watu wazuri na wasomi, lakini wote wana ka -mdudu jazba .Huharibu mambo tu.
 


Mkuu Pundit,

Mie naona hii habari imeandikwa kiushabiki. ukisoma mwanzo inaelekea Juma reli alichosema ni kuwa nafasi zisizo na ushindani ni hizo za udereva, upika chai na kadhalika kwa hiyo wazanzibari wanaweza kupata upendeleo kwenye hizo lakini zile za ushindani hawawezi kupewa upendeleo. Halafu muandishi huyo huyo anasema kuwa Juma reli amesema nafasi za udereva, upika chai ni za wazanzibari lakini hizo za ushindani ni lazima zishindaniwe na watanzania wote. Ninavyoelewa mimi Zanzibar ingali sehemu ya Tanzania kwa hiyo hakuna kinachowazuia kushindania. Bado sioni kosa alilofanya Juma reli maana hakusema wazanzibari wao wanafaa kuwa wapika chai au madereva tu ( pamoja na kuwa mshahara wao si haba ukilinganisha na wa SMZ) bali alichosema ni kuwa kwenye nafasi hizi wanaweza kupewa upendeleo. Kitu ambacho hawezi kusema huko bara, kuwa kwenye ofisi ya BOT iliyokuwa Arusha wapika chai na madereva wote watoke kwenye mikoa hiyo! atanyongwa mara moja. Hii ni dalili dhahiri ya kukubali special status ya zanzibar.

Watu wengi wanadhani kuwa qualifications ni kupasua madarasa tu. Cha maana zaidi ni nini ulichofanya baada ya kupasua hayo madarasa. Wakija watu wenye qualifications sawa na muda wa kufanya kazi sawa kinachoangaliwa mara zote ni wapi ulikofanya kazi, nafasi yako ya kazi na mchango wako katika mafanikio ya hapo ulipofanya. Ndiyo maana pengine Salmin Awadh Salmin alikiri alichokiri.

Tuache hii attitude ya kuwa victims kila siku na kutafuta kuonewa na kutukanwa hata pale ambapo hatukufanyiwa hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…