Mtz-halisi
Member
- Nov 28, 2009
- 47
- 20
Kwa niaba ya wanachama wa CHADEMA twasema ahsante. Uchambuzi wako ulikuwa ni mzuri na wa Busara kubwa, ushauli wa kujenga. Najua imepita siku nyingi toka uandike ushauli wako; Viongozi wa CHADEMA wamesikia na watafanyia kazi. ila sijui kama ndugu Zitto alisoma na kuuelewa.
Tuzidi kuomba juu ya nchi yetu na juu ya wanasiasa wetu. haya unayo yaona sasa ni majibu ya Mungu aliye hai, Muumba Mbingu na nchi. Yeye aliweka mambo hazarani mapema sana na siyo mwanadamu awaye yote.
Nawatakia wananchi Merry Christmas and Happy new year.
Tunaomba hekima ya Mungu juu ya viongozi wetu; Tunawaombea vijana nidhamu na utii, tunaomba juu ya Katiba mpya na pia tunaomba juu wananchi wote wa Tanzania.
Tuzidi kuomba juu ya nchi yetu na juu ya wanasiasa wetu. haya unayo yaona sasa ni majibu ya Mungu aliye hai, Muumba Mbingu na nchi. Yeye aliweka mambo hazarani mapema sana na siyo mwanadamu awaye yote.
Nawatakia wananchi Merry Christmas and Happy new year.
Tunaomba hekima ya Mungu juu ya viongozi wetu; Tunawaombea vijana nidhamu na utii, tunaomba juu ya Katiba mpya na pia tunaomba juu wananchi wote wa Tanzania.