Ahsante sana mwanakijiji wewe ni mzalendo wa kweli

Uzalendo siyo kuwa mtiifu na mwaminifu kwa serikali ya CCM na chama chake.Taifa ni zaidi ya serikali na ndipo wengi wanapokosea kwa kudhani Mwanakijiji akiikosoa serikali si mzalendo bila kutambua kwamba serikali ni zao la chama mathalani CCM kwa Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…