TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
Mkuu huo mwisho uje tu,hata hivyo nitakuwa nimewafaidi sana,kwasasa naendelea kujipakulia minyama tu,dadeeeeek!!!!πππππHi hizi ni zile walizotangazaga kipindi kile sijui ilikua 2017, ile, ulifanya uamuzi mzuri.
Kuna wenye Wivu humu watakuja kuponda na kusema kila kitu kina mwishoπ€£.
Mda mwingne unajiuliza i ungeweka mzigo mkubwaaa.Mkuu huo mwisho uje tu,hata hivyo nitakuwa nimewafaidi sana,kwasasa naendelea kujipakulia minyama tu,dadeeeeek!!!!πππππ
Mkuu sijaweka mzigo wala nini,mi naendelea kula maisha tu dadeeeek na siwasanui hata kidogo.Mda mwingne unajiuliza i ungeweka mzigo mkubwaaa.
Mzee unataka kulambishwa?πππMbona hyo sukari mnalamba wenyewe tu kila siku wazee...?
Mkuu mimi kila siku napewa GB 3 na huu ni Mwaka sasa unaelekea.Ni zile MB na dakika za bure?
kama ni hizo na mimi napata muda mrefu tu, tena kuna muda napata kwa wiki mara 2.
ChaiMkuu mimi kila siku napewa GB 3 na huu ni Mwaka sasa unaelekea.
Ni mwendo wa kuseleleka kama nyoka tu dadeeeek !![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ππ Sitaki kulambishwa nataka nipewe asali hyoMzee unataka kulambishwa?πππ
Mkuu mimi kila siku napewa GB 3 na huu ni Mwaka sasa unaelekea.
Ni mwendo wa kuseleleka kama nyoka tu dadeeeek !![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kunywa ikiwa ya moto ikipoa ni chungu mkuuChai
Mkuu mi sielewi nashangaa hata mimiππππMkuu umefanyaje kwani?
Au nije inbox?