MANI
Platinum Member
- Feb 22, 2010
- 7,318
- 6,391
muambie aandike kiinglish, nadhani ndo lugha wanayotumia chuoni. Kiswahili kigumu sana.
Mkuu kama lugha ya mama ngumu hiyo ya kuiga itakuwaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
muambie aandike kiinglish, nadhani ndo lugha wanayotumia chuoni. Kiswahili kigumu sana.
:embarassed2::canada: watu bwana mbona mna mdiss kijana wa watu, kajipatia pembe nne zake nyie mpo mnazunguzia ma sentesi yatamsaidia nini? Kijana tangaza ndo usichelewi mi mtu humu itakuwahi, Elimu isiwe tatizo kukutanisha na mkeo mtarajiwa. Ongeraaaaa mwanaume usisikile maneno ya watu...:A S 465::rant:
muambie aandike kiinglish, nadhani ndo lugha wanayotumia chuoni. Kiswahili kigumu sana.
kwani hujui kama wako kwenye mgomo