Umughaka we miss you mkuuNilitabiri ya kwamba mngekuwa mabingwa kwasababu niliwaamini tangia mwanzo lakini haikuwa bahati yetu japo mechi yetu na Argentina ilikuwa na makando kando mengi lakini hayo yamepita.
Hongereni kwa nafasi ya tatu,baada ya miaka minne ijayo tutakuwa bora zaidi ya hapa.
Hongereni sana[emoji122][emoji122]
Jifunze kuwa mzalendoNilitabiri ya kwamba mngekuwa mabingwa kwasababu niliwaamini tangia mwanzo lakini haikuwa bahati yetu japo mechi yetu na Argentina ilikuwa na makando kando mengi lakini hayo yamepita.
Hongereni kwa nafasi ya tatu,baada ya miaka minne ijayo tutakuwa bora zaidi ya hapa.
Hongereni sana[emoji122][emoji122]
Ok poaKimbia Entertainment huko nimeanza kusimulia
Siku hizi naiona sports peke, ngoja niitafuteNenda Entertainment nasimulia nimeanza jana