AI (Akili Mnemba) itaua kazi za watu, sijui wasomi watakosa kazi aah wapi. Indispensable human on the loop

AI (Akili Mnemba) itaua kazi za watu, sijui wasomi watakosa kazi aah wapi. Indispensable human on the loop

Uhakika Bro

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2022
Posts
3,644
Reaction score
4,315
AI inao uwezo wa kujichanganya, tuwe makini asee.

Leo katika kuchakata swali moja la kitafiti la kutenganisha bidhaa zilizomo katika pombe nikagundua. Ili kuzitumia taarifa zilizopo katika mfumo ni muhimu uwe na elimu kuhusu jambo hilo kiasi.

Ndio maana siku zote mifumo inahitaji kushirikiana na watu wataalamu ili majibu yawe na uhakika.

Screenshot_20240810-222252_Chrome.jpg

Screenshot_20240810-222323_Chrome.jpg

Screenshot_20240810-222343_Chrome.jpg

Screenshot_20240810-222404_Chrome.jpg


Tufanye kama enzi za google tu na wikipedia unaambiwa usijitibu mwenyewe kutumia kugugo. Na AI sio mbadala wa kila taarifa mazee.

JE tumejiandaaje kuwa men in the loop wenye akili.
 
Kupotea kwa ajira haimaanishi 100% ya ajira zinapotea ni kwamba kama kazi ilihitaji watu 10 basi kwa binadamu kushirikiana na A.I inaweza kuhitaji watu 2 au mmoja hapo ndio majanga yanapoanzia
 
Dunia ina evolve, fursa utaziona tu AI ikianza ku-take over kama ilivyokuwa kwa industrialization watu walipoteza kazi machine/viwanda zilipokuwa introduced lakini leo utaona kuna ajira nyingi mno zimetokea tangu kuanzishwa kwa machine/viwanda
Humans always adopt to their environment wakati ukifika hata wewe utaziona fursa, usitake mimi nkutajie
 
Dunia ina evolve, fursa utaziona tu AI ikianza ku-take over kama ilivyokuwa kwa industrialization watu walipoteza kazi machine/viwanda zilipokuwa introduced lakini leo utaona kuna ajira nyingi mno zimetokea tangu kuanzishwa kwa machine/viwanda
Humans always adopt to their environment wakati ukifika hata wewe utaziona fursa, usitake mimi nkutajie
Ahsante sana ndugu mheshimiwa kwa maelezo mazuri, kumbe you believe in future, but without relevant evidence!! Great 👍
 
AI inao uwezo wa kujichanganya, tuwe makini asee.

Leo katika kuchakata swali moja la kitafiti la kutenganisha bidhaa zilizomo katika pombe nikagundua. Ili kuzitumia taarifa zilizopo katika mfumo ni muhimu uwe na elimu kuhusu jambo hilo kiasi.

Ndio maana siku zote mifumo inahitaji kushirikiana na watu wataalamu ili majibu yawe na uhakika.

View attachment 3066441
View attachment 3066442
View attachment 3066443
View attachment 3066444

Tufanye kama enzi za google tu na wikipedia unaambiwa usijitibu mwenyewe kutumia kugugo. Na AI sio mbadala wa kila taarifa mazee.

JE tumejiandaaje kuwa men in the loop wenye akili.
Ni kweli. Kuna kazi zitakuwa replaced na zingine zitakuwa created. Kinachotakiwa ni kuwekeza katika kazi ambazo hazitakuwa replaced kama vile communication, counselling, etc. Skills zinazotakiwa ni digital skills, communication skills, negotiation skills, critical thinking (ambayo hapa kwetu haitiliwi maanani au inapuuzwa), problem-solving, collaboration. Kwa kifupi tunatakiwa tuwekeze kwenye soft, employability na 21st century skills.
 
Nimehangaika nayo kuiprompt ikanipa mchakato mreeeeefu wenye summary hii👇
Screenshot_20240811-131429_Chrome.jpg

Inaonekana hakuna namna ya kuondoa maji kwanza na kuacha acetic acid na alcohol pamoja.

Nilitaka kufanya hivyo ili kupata kitu cha kusafishia kisicho na maji (a dry cleaning agent).

Huu ni ushahidi kwamba watafiti wanaendelea kuhitajika ili kutengeneza taarifa mpya zitakazotumika kuifundisha mifumo ili iendelee kutoa majibu ya kiotomatiki ya ukweli.

Angalizo pia kuwa hii AI haikubali kuonekana haijui kitu fulani. Hivyo inao uwezo wa kugenerate jibu kivyovyote tu mradi inaendana. Na sio kosa lake, maana sidhani kama inajielewa vya kutosha kuwwza kutambua KWELI ni nini. Kwake inaona ni muunganiko tu wa sentesi, mambo ya kweli au si kweli haijugde sana. Mradi tu katika datasets zake kuna hayo maneno.

Though inasaidia sana katika kufikiria kwa pamoja, inasaidia kupunguza muda wa kutafuta vi data mfano hizo boiling point na azeotropic point.

Yote kwa yote teknolojia hii itarahisisha sana maisha. Sema wale wa kusema maisha magumu nao hawataisha😆
 
Back
Top Bottom