mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Tafuta na ile wanaimba we are world trump putin netanyau zelensky na malaise wengineIweke hapa mkuu acha porojo.
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta na ile wanaimba we are world trump putin netanyau zelensky na malaise wengineIweke hapa mkuu acha porojo.
Duh ila napo kuna hatari kubwa kwasababu hata serekali Ina wataalamu wazuri wa haya mambo. Kwahiyo mtu akipost tu hatari ya kuwa arrested ipoWapo Wataalam feki wasioweza kutengeneza video na kuposti KIU MAMA akinywesha wajuba...
Waliopo huwa wanamtengeneza na kumpost Mobetto au Gigi money au Zuchu hapo ndio mwisho wao.
🚮🚮🚮 Kelele za chura hazimzuii tembo kunywa majiSababu visu vinaweza kutumika kuua watu basi tuache kutumia visu ?!!!!
Kwahio ni ONUS ya mfuatiliaji na mtazamaji kutokuami lolote lile analoliona sababu anything can be faked; thus habari zako badala ya kuzipata kwenye vijiwe angalia sources tofauti even those vichukulie with a pinch of salt...
Kwa Trump wanapost na hakuna wa kuwafanya kitu, je huko kwa Trump hakunaga 'Wataalam'?Duh ila napo kuna hatari kubwa kwasababu hata serekali Ina wataalamu wazuri wa haya mambo. Kwahiyo mtu akipost tu hatari ya kuwa arrested ipo
Nchi ukishakuwa na tech expert wengi hasa unemploymed vitu kama hivyo rate inaongezeka, it's like Tanzania watu wengi hatuna ujuzi wa Computer ku control cybercrime ni rahisi na ndio maana tuna rank ila kwa nchi kama Nigeria wataalamu wa computer ni wengi control inakuwa tatizo similar to countries kama Russia, Singapore, India, USKwa Trump wanapost na hakuna wa kuwafanya kitu, je huko kwa Trump hakunaga 'Wataalam'?