AIBU AIBU: SENZO , MANARA WAPOST PICHA ZA MWAKA JANA KUDANGANYA

AIBU AIBU: SENZO , MANARA WAPOST PICHA ZA MWAKA JANA KUDANGANYA

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
AISEE sikutarajia kwa mtu kama Senzo, kwa msukule hiyo inajulikana linaishi mjini kwa ulaghai, uongouongo na kujipendekeza, hivi jana nani hajaona hali halisi ya uwanja , hii kujidanganya ni kujitia dole la masaburi na kujinusa , what a shame

Msukule hauna impact ya kujaza uwanja bwana albino, ukweli mchungu. huo weee endelea ku post picha alizofanikiwa kujaza Antonio Nugaz

HAYA MAJITU NI MATAPELI AISEEE, KAMA YALIWEZA TAPELI TEAMS 15 KW AKUVAA NEMBO YA GSM MIEZI 4 NA KUKATAA KUWALIPA SEMBUSE KUDANGANYA HIVI MASKINI ALBINO LINACHEKELEA KABISA KUTUMIA PICS ZA WEK YA MWANANCHI 2021


Screenshot 2022-05-01 at 12.06.05.png
Screenshot 2022-05-01 at 12.05.39.png
Screenshot 2022-05-01 at 12.05.57.png
 
Tumia akili, chuki zisikufanye uonekane mbumbumbu alicho andika mashabiki wa Yanga walikua zaidi ya theluthi mbili Kwaiyo mashabiki wa Yanga walifikia lengo la Manara.
Kwanza ata picha hazi fanani, picha ni tofauti na angle za uchukuaji ni tofauti na mg'ao wa picha ni tofauti Kwa ujumla ni picha ambazo hazi fanani.
 
Tumia akili, chuki zisikufanye uonekane mbumbumbu alicho andika mashabiki wa Yanga walikua zaidi ya theluthi mbili Kwaiyo mashabiki wa Yanga walifikia lengo la Manara.
Kwanza ata picha hazi fanani, picha ni tofauti na angle za uchukuaji ni tofauti na mg'ao wa picha ni tofauti Kwa ujumla ni picha ambazo hazi fanani.
we mjinga jana kulikuwa na maspika?
 
Udanganyifu na utapeli ulishakuwa sehemu ya maisha ya wadanganyika, imagine kuna watu wanatetea huu uhuni wa utopolo fc, shame shame shame
 
we mjinga jana kulikuwa na maspika?
Unatatizo la uelewa. Ngoja nikueleweshe kuhusu neno spika ambalo limetokea kwenye kauli ya Manara

Manara amesema hivi "Hii ni heshma kwetu na lengo letu mlilitimiza kwa kiwango kikubwa.

Isingejaa wangesema ni kwa sababu hawajatumia Vispika vyao kuuzia sumu za kuulia kuku mdondo na kunguni pori, mechi imejaa wanasema ni kawaida ya game hz kujaa".

Mwisho wa kunukuu.

Alichomaamisha Manara ni kwamba endapo uwanja usingejaa jana basi watu wa Simba wangejisifia kuwa uwanja haukujaa kwasababu ya wao kutopita mitaani na gari ambalo yanabeba maspika kwaajili ya kuwaamasisha watu mitaani. Japo katumia kejeli ya kuita yale maspika mnsyotumiaga kupita mitaani kuwa ni Vispika.
 
Wewe mchunga Ngo'mbe ndio kilaza, Nilisha kushauli mambo ya mpira huyawezi. Sasa unahangaika na ma Id meengi wakati Kila ukiandika maandishi Yako Yana kutambulisha wewe ni popoma
Mambo ya mpira ni kupost picha za uongo? ni mpira gani mnauongelea huko utopoloni? wapambe wa zeruzeru mna shida sana, matapeli wakubwa mara tukishinda ubingwa CAf tunaanzia round ya kwanza , sasa mmeingia kwenye kutumia picha za mwaka jana , nzi wa kijani tena wa chooni
 
Unatatizo la uelewa. Ngoja nikueleweshe kuhusu neno spika ambalo limetokea kwenye kauli ya Manara

Manara amesema hivi "Hii ni heshma kwetu na lengo letu mlilitimiza kwa kiwango kikubwa.

Isingejaa wangesema ni kwa sababu hawajatumia Vispika vyao kuuzia sumu za kuulia kuku mdondo na kunguni pori, mechi imejaa wanasema ni kawaida ya game hz kujaa".

Mwisho wa kunukuu.

Alichomaamisha Manara ni kwamba endapo uwanja usingejaa jana basi watu wa Simba wangejisifia kuwa uwanja haukujaa kwasababu ya wao kutopita mitaani na gari ambalo yanabeba maspika kwaajili ya kuwaamasisha watu mitaani. Japo katumia kejeli ya kuita yale maspika mnsyotumiaga kupita mitaani kuwa ni Vispika.
Tratibu boss , unakurupuka sana , nakuombia hujaona maspika kwenye pics walizopost ? huoni set up ya koff olomide kupafomu jana kulikuw ana hayo ma spika? taratibu basi kw anini mnatetea hawa wajinga kutumia pics za week ya mwananchi kudanganya umma? huyo aliyesema vi spika vya mende yeye hawezi kuvuja jasho wakati inajulikana akikaa juani anayeyuka huoni na. yeye anatumia hizi picha kudanganya yanga walijaa wakati ukweli walikuwa wachache na uwanja ulikuwa na gaps
Zeruzeru mnamlea sana
 
Mwamba aliamini yeye ndio sababu ya yale kutokea ila ukweli ni kwamba Ahmed Ally anamtoa ulimi Haji
N kapost pics za week ya mwananchi iliyojazwa na Nugaz bado kuna watu wanatetea uongo ,dah utadhani. jana hatukuona kwenye TV unapost pics zina maspika ya show ya olomide, shame on those fools
 
UWANJA WA MANARA NAONA WAMEONDOA MABANGO YA MDHAMINI KAMA WALIVYO FANYA SIMBA MECHI YA AWALI...
 
Tratibu boss , unakurupuka sana , nakuombia hujaona maspika kwenye pics walizopost ? huoni set up ya koff olomide kupafomu jana kulikuw ana hayo ma spika? taratibu basi kw anini mnatetea hawa wajinga kutumia pics za week ya mwananchi kudanganya umma? huyo aliyesema vi spika vya mende yeye hawezi kuvuja jasho wakati inajulikana akikaa juani anayeyuka huoni na. yeye anatumia hizi picha kudanganya yanga walijaa wakati ukweli walikuwa wachache na uwanja ulikuwa na gaps
Zeruzeru mnamlea sana
Hiyo post uliweka humu kwenye uzi wako? Nimekujibu kulingana na post zako ulizoweka humu ambayo umetumia kama kielezo cha upotoshaji wa Manara, Sio kila mtu humu ana mfollow Manara.
 
Hiyo post uliweka humu kwenye uzi wako? Nimekujibu kulingana na post zako ulizoweka humu ambayo umetumia kama kielezo cha upotoshaji wa Manara, Sio kila mtu humu ana mfollow Manara.
nilizungumzia maspika ya show ya koff olomide
 
ALBINO LINAHAHA KUHALALLISHA UONGO WAKE, WHAT A SHAME ETI MABINGWA WA PROPAGANDA
Screenshot 2022-05-01 at 13.27.10.png
 
Sijui wanatetea nini hawa wachambaji wa Jf, hizo picha zilizotimiwa ni za mwananchi day.
acha tu tena mtu anakuambia wewe hujui mpira..sasa sijui mpira ndo kudanganya kama senzo na zeruzeru au sababu washazoea utapeli huko kwenye kampuni lao ?? maana hata TRA wanajua mziki wa hao jamaa kwenye janjanjanja
 
Back
Top Bottom