chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Hiyo katiba mpya mnaitaka ili mpate uhuru wa kutukana mitandaoni?Mchukue mamako nenda wewe yawezekana Jay alilala na mamako yule ndio dingi yako fala wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo katiba mpya mnaitaka ili mpate uhuru wa kutukana mitandaoni?Mchukue mamako nenda wewe yawezekana Jay alilala na mamako yule ndio dingi yako fala wewe
Hujamuona wapi,unashinda lumumba utamuonajeSijamuona Mnyika wa Mwalimu wameenda kumuona Prof J
Kumbe dau limepungua sasa wanapewa buku 5.Haya wahi chapu buku tano.
Pili pili usiyoila inakuwashia nini Babu
'Ukiona bepari amekusifia kaa chini ujitafakari umekosea wapi'
Mleta mada wewe ni Bepari hivyo uko kazini ama kwa kulipwa au kujipendekeza
Sent using Jamii Forums mobile app
CHADEMA walienda kumuona Prof. baada ya katibu mkuu wa CCM kwenda
Mimi Chadema mkuuHujamuona wapi,unashinda lumumba utamuonaje
Zile risasi mlizompiga Lisu pia mlionyesha mapenzi na utu pia?. Mkazuia hata watu kumuombea. Mbona akutoa pesa Lisu atibiwe? Huu ulioandika wenye akili wanajua ccm Ni wauwajiSijawahi kufanikiwa kuifahamu CHADEMA wala sijawahi kujua ndani ya CHADEMA ni nani anaweza kusaidiwa kwa michango pale anapopatwa tatizo. Nikikumbuka Tundu Lissu alipopatwa na tatizo alisaidiwa na chama chake kwa hali na Mali na hapo hakuwa na cheo chochote ndani ya CHAMA( Naomba kusahihishwa kama nimekosoa)
Kilichonisukuma Leo kutaka kuifahamu CHADEMA ndani ya suala hili la kuchangiana ndani la CHADEMA ni juu ya mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho Prof Jay ambaye yupo mahututi ICU. Je michango inaangalia sura, umuhimu au mtazamo wa mwenyekiti?
Ninapokumbuka mjumbe wa kamati kuu ya CCM alipoanguka ghafla kule lumumba si mwenyekiti wa CCM Taiga wala mjumbe wa shina la wakereketwa wote walienda kumuona. Yalioneshwa mapenzi makubwa na utu.
Sasa michango gani unataka eatowe ilhali serikali inasimamia gharama zote za matibabu? Au umefika nyumbsni kwake ukaona familia yake inalia njaa?Sijawahi kufanikiwa kuifahamu CHADEMA wala sijawahi kujua ndani ya CHADEMA ni nani anaweza kusaidiwa kwa michango pale anapopatwa tatizo. Nikikumbuka Tundu Lissu alipopatwa na tatizo alisaidiwa na chama chake kwa hali na Mali na hapo hakuwa na cheo chochote ndani ya CHAMA( Naomba kusahihishwa kama nimekosoa)
Kilichonisukuma Leo kutaka kuifahamu CHADEMA ndani ya suala hili la kuchangiana ndani la CHADEMA ni juu ya mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho Prof Jay ambaye yupo mahututi ICU. Je michango inaangalia sura, umuhimu au mtazamo wa mwenyekiti?
Ninapokumbuka mjumbe wa kamati kuu ya CCM alipoanguka ghafla kule lumumba si mwenyekiti wa CCM Taiga wala mjumbe wa shina la wakereketwa wote walienda kumuona. Yalioneshwa mapenzi makubwa na utu.
Unajua CCM kila mwezi inachota mabilioni ya kodi zetu! Wewe unawafagilia.Sijawahi kufanikiwa kuifahamu CHADEMA wala sijawahi kujua ndani ya CHADEMA ni nani anaweza kusaidiwa kwa michango pale anapopatwa tatizo. Nikikumbuka Tundu Lissu alipopatwa na tatizo alisaidiwa na chama chake kwa hali na Mali na hapo hakuwa na cheo chochote ndani ya CHAMA( Naomba kusahihishwa kama nimekosoa)
Kilichonisukuma Leo kutaka kuifahamu CHADEMA ndani ya suala hili la kuchangiana ndani la CHADEMA ni juu ya mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho Prof Jay ambaye yupo mahututi ICU. Je michango inaangalia sura, umuhimu au mtazamo wa mwenyekiti?
Ninapokumbuka mjumbe wa kamati kuu ya CCM alipoanguka ghafla kule lumumba si mwenyekiti wa CCM Taiga wala mjumbe wa shina la wakereketwa wote walienda kumuona. Yalioneshwa mapenzi makubwa na utu.
Ona hii ng'ombe nyingine ya ngorongoro! Huyo Lowassa alikuwa hapo ICU muhimbili Kwa wiki kadhaa akiupigania uhai wake! Onyesha orodha ya michango ya wanaccm waliomchangia!Sijawahi kufanikiwa kuifahamu CHADEMA wala sijawahi kujua ndani ya CHADEMA ni nani anaweza kusaidiwa kwa michango pale anapopatwa tatizo. Nikikumbuka Tundu Lissu alipopatwa na tatizo alisaidiwa na chama chake kwa hali na Mali na hapo hakuwa na cheo chochote ndani ya CHAMA( Naomba kusahihishwa kama nimekosoa)
Kilichonisukuma Leo kutaka kuifahamu CHADEMA ndani ya suala hili la kuchangiana ndani la CHADEMA ni juu ya mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho Prof Jay ambaye yupo mahututi ICU. Je michango inaangalia sura, umuhimu au mtazamo wa mwenyekiti?
Ninapokumbuka mjumbe wa kamati kuu ya CCM alipoanguka ghafla kule lumumba si mwenyekiti wa CCM Taiga wala mjumbe wa shina la wakereketwa wote walienda kumuona. Yalioneshwa mapenzi makubwa na utu.
Chadema hakuna vilaza na majuha kama weweMimi Chadema mkuu
Makamu mwenyekiti wa ccm Philip Mangula aliwekewa sumu na wanachama wa chama gani?Ninapokumbuka mjumbe wa kamati kuu ya CCM alipoanguka ghafla kule lumumba si mwenyekiti wa CCM Taiga wala mjumbe wa shina la wakereketwa wote walienda kumuona. Yalioneshwa mapenzi makubwa na utu.
Kwani CHADEMA hakina fedha za chama kumgharamikia matibabu mpaka wachangishe?Umeandika haya baada ya kupata kutoka kwa prof au umeamua kuwa mpuuzi??, Una taarifa juu ya nini wamekifanya chadema kwa prof??.
Cdm mpk juzi wamechanga zaid ya 20m kwaajili ya prof. Au unataka cdm nchi nzima waendee mhimbili?.
Kwani CHADEMA hakina fedha za chama kumgharamikia matibabu mpaka wachangishe?Umeandika haya baada ya kupata kutoka kwa prof au umeamua kuwa mpuuzi??, Una taarifa juu ya nini wamekifanya chadema kwa prof??.
Cdm mpk juzi wamechanga zaid ya 20m kwaajili ya prof. Au unataka cdm nchi nzima waendee mhimbili?.
Point,Mnataka uhuru wa maoni, hasa pale yanapokuwa upande wenu, nyie katiba mpya haieafai, hii hii inawatosha, mkijaa kwenye 18,mnachapwa za uso
Mjumbe wa taiga ndio nani?yaani uandishi wako shida nchi hii bado kuna safari ndefu.Sijawahi kufanikiwa kuifahamu CHADEMA wala sijawahi kujua ndani ya CHADEMA ni nani anaweza kusaidiwa kwa michango pale anapopatwa tatizo. Nikikumbuka Tundu Lissu alipopatwa na tatizo alisaidiwa na chama chake kwa hali na Mali na hapo hakuwa na cheo chochote ndani ya CHAMA( Naomba kusahihishwa kama nimekosoa)
Kilichonisukuma Leo kutaka kuifahamu CHADEMA ndani ya suala hili la kuchangiana ndani la CHADEMA ni juu ya mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho Prof Jay ambaye yupo mahututi ICU. Je michango inaangalia sura, umuhimu au mtazamo wa mwenyekiti?
Ninapokumbuka mjumbe wa kamati kuu ya CCM alipoanguka ghafla kule lumumba si mwenyekiti wa CCM Taiga wala mjumbe wa shina la wakereketwa wote walienda kumuona. Yalioneshwa mapenzi makubwa na utu.
Uandishi mbovu, maudhui hayaeleweki na kwa uandishi huo itoshe kusema una ELIMU NDOGO SAAANAAAA....... pimbi wahead..!!!!Sijawahi kufanikiwa kuifahamu CHADEMA wala sijawahi kujua ndani ya CHADEMA ni nani anaweza kusaidiwa kwa michango pale anapopatwa tatizo. Nikikumbuka Tundu Lissu alipopatwa na tatizo alisaidiwa na chama chake kwa hali na Mali na hapo hakuwa na cheo chochote ndani ya CHAMA( Naomba kusahihishwa kama nimekosoa)
Kilichonisukuma Leo kutaka kuifahamu CHADEMA ndani ya suala hili la kuchangiana ndani la CHADEMA ni juu ya mjumbe wa kamati kuu ya chama hicho Prof Jay ambaye yupo mahututi ICU. Je michango inaangalia sura, umuhimu au mtazamo wa mwenyekiti?
Ninapokumbuka mjumbe wa kamati kuu ya CCM alipoanguka ghafla kule lumumba si mwenyekiti wa CCM Taiga wala mjumbe wa shina la wakereketwa wote walienda kumuona. Yalioneshwa mapenzi makubwa na utu.
Unajua maana ya kuwa na chama hai??, Ni pamoja nakuonesha namna gani jamii wapo na chama.Kwani CHADEMA hakina fedha za chama kumgharamikia matibabu mpaka wachangishe?