princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Hahaha Duh!kwenye harusi unaagiza kamati ya Vinywaji isimpe bia hata moja
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hiyo sentensi ya mwisho nimecheka kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha Dah yani kama nakuona vile...watampa[emoji3] mwezi wa11 nilienda nae kwa sherehe kila saa namuangalia akiagiza bia asije kuzingua, kila akienda kucheza namuangalia kama maji yashazidi unga au bado
Sent using Jamii Forums mobile app
Very Very Proud of u....Uzuri wadada mnajua kusimamia wazazi wenu.Tushazoea aibu za kila saa[emoji3][emoji3][emoji3] wageni wataona aibu mi ntaona kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
Umemaliza vizuri nimecheka sanapole sana mkuu.
Kuhusiana na baba, nafikiri mzee wangu anaongoza kwa matukio ya kututia aibu, Huko jeshini kafanya matukio makubwa ya kitukutu yasiyo na idadi, kila tukiamka tulikua tunajiuliza leo atatutia aibu gani,mkisafiri nae usipomzingatia anaachwa na bus kisa kaenda kununua Kitoko
kuna siku nilikua natoka akaniambia nikusidikize mwanangu nikajifikiria mama akamkataza akamwambia utamdhalilisha mtoto barabarani, nikamwambia twende Kamanda wangu Huwezi amini tulitembea umbali mrefu sana Mzee wangu amelewa tiralira tunatembea kama tumetoka kukesha somewhere lakini nikawa na ujasiri mkubwa na iko hivyo mpaka leo. watu wataniheshimu na kunipenda kwa mambo yangu makuu , nmezaliwa na huyu baba siwezi kubadilisha hilo kama ni doa basi ni doa la milele. I can't wait siku nikiolewa mzee wangu anitie aibu ya mwaka ukumbini[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Very Very Proud of u....Uzuri wadada mnajua kusimamia wazazi wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha Dah yani kama nakuona vile...
Tena ukiwa unamsimamia anaona kama unamuonea flani hvi...
Pole ila nafurahi unavyomchukulia jinsi alivyo..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mh!! Unamaanisha Sisi wanaume tunaweza kumpiga mzee akizingua !??
😂😂😂😂😂 nimecheka mpk ofisi ya pili wamesikiaa, natamani niwe babako asee yan najua anafeel proud sana unavyomchunga😂😂ndo mana sikai nae meza moja mi nakaa mahala ambazo naweza kumuona , naacha kusherekea namchunga yeye, badala yeye anichunge mimi
maisha yetu ni vise versa[emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada Yeye akuchunge na Mafisi [emoji1787][emoji1787]ndo mana sikai nae meza moja mi nakaa mahala ambazo naweza kumuona , naacha kusherekea namchunga yeye, badala yeye anichunge mimi
maisha yetu ni vise versa[emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha Duh!kwenye harusi unaagiza kamati ya Vinywaji isimpe bia hata moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi niliwahi kuomba likizo isiyo na Malipo Ofisini miaka ya nyuma sana na kujitosa kuwania Ubunge baada ya Matapeli kadhaa kunifata na kujifanya Eti watu wengi wameomba niwanie
Nikaangukia Pua kwenye hatua za mwanzo kabisa
Kimbembe na aibu haikuwa Mtaani bali ofisin ambako Niliaga kwa Mbwembe sana kuwa tukutane Karimjee kwenye Viwanja vya Bunge
watampa[emoji3] mwezi wa11 nilienda nae kwa sherehe kila saa namuangalia akiagiza bia asije kuzingua, kila akienda kucheza namuangalia kama maji yashazidi unga au bado
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio rahisi ni vile tu tumepigwa matukio ya kutosha since day 1 mpaka mioyo imeota sugu na tumejifunza kitu kupitia hayo. Kama ni vidole tushanyooshewa sana, kilichobaki ni kuwaonyesha ujasiri, raha ya mtu anaekukosoa ni kuona unasononeka, sasa husononeki unabeba msalaba wetu bila kusita wala aibu. Mwisho wa siku inakua sio habari tenaBaada Yeye akuchunge na Mafisi [emoji1787][emoji1787]
Wewe ni mwanamke Shupavu sana yan hlo suala la kuchukulia aibu zake kama zako ni jambo la kupongezwa sana[emoji123][emoji123]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilisha wahi kukamatwa na barua namtumia demu school ule msala wake uiitikisa shule siku tatu, demu niliyekuwa namtumia barua alikuwa mtoto wa kishua, basi shuleni alikuwa akiaangaliwa kwa ukaribu kwakuwa ni mtoto wa kishua, siku hiyo ikapigwa kengele ya dhadhura wanafunzi wote shule nzima wakajikusanya pared kutangaziwa hili tukio, kwenye heka heka za kukusanya wanafunzi nikafanikiwa kutoroka, ile ishu ilikuwa in aibu kinoma, shule yenyewe nilihama hadi mkoa
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna maudhi ww yanakuuma mno halafu anayarudia rudia inakukuta hasira kubwa..Mh!! Unamaanisha Sisi wanaume tunaweza kumpiga mzee akizingua !??
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi niliwahi kuomba likizo isiyo na Malipo Ofisini miaka ya nyuma sana na kujitosa kuwania Ubunge baada ya Matapeli kadhaa kunifata na kujifanya Eti watu wengi wameomba niwanie
Nikaangukia Pua kwenye hatua za mwanzo kabisa
Kimbembe na aibu haikuwa Mtaani bali ofisin ambako Niliaga kwa Mbwembe sana kuwa tukutane Karimjee kwenye Viwanja vya Bunge
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]nilijua tuko peke etuYuko kama Mzee wetu,
Tunaenda naye ukumbini Ana kwenye dhifa kuvaa vizuri suti, tai, na viatu ila sasa ajili ya gamble kidogo tu anatoka humo akiwa hana koti, tai wala viatu tena ni yule wa mzobe mzobe.....